kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,546
- 1,662
- Thread starter
- #21
Ushauri wenu 2taufanyia kazi 2nayaheshimu sana.lakini kama kweli mapenz yamekwisha kwanini asiwe wazi nadhani inakua vzr sana kuliko hayo anayoyafanya inakua km anajaribu km yule aliempata kma ni kweli yuko nae au lah!Yeah fata ushauri wa husninyo kae wiki bila kumtafuta na akipiga mwambie subiri nina kazi muhimu nitakupigia, badae tena usipige akipiga mwambie naongea na mzee hapa nikimaliza takupigia kaa kimya then ataona kama aaendelea kumtafuta,akiendelea ujue mapenzi yapo ila yuko bize au ni mkorofi tu,akikaa kimya ujue ana jambo huyo