Kwa stail hii kuna mapenzi hapa?

kokudo

JF-Expert Member
Oct 26, 2010
2,546
1,662
Jamani naomba kutoa kisa hiki.Inaweza kua either uliwahi kuickia au kukutana nacho.
Ni kati ya wapenzi waliopenda sana kiac cha kila sehemu walikwenda wote walishrikiana kwa kila jambo mpaka mbele ya m2 atakaewaona alijua hawa ni wapenzi.Binti ni secretary kwenye stationary moja mjini hapa na jamaa anabiashara zake binafc.Hawa kila mmoja anaish kwake sasa hv jamaa anapelekwa puta binti hashikiki kila cku ni kusuruhisha ugomvi,binti amekua bize kupta kiac mpaka jamaa sasa utendaji wa kazi umeshuka.ki ukwel km ungewah kuwaona ungestaajabu sana.
Msaada:Jamaa anaonekana bdo anampenda binti na kwa khal hii cdhan km atakubal kumuacha.
Lakini pia kama kuna njia ya kulinusuru penzi hl tafadhar 2naomba msaada.
Na kama kuna dawa yaani aweze kulisahau penz hl itasaidia kwani inaoneka binti ameshaanza kutoa % kwa jamaa.
Angalizo:Ha2na nia ya kulivunja penzi lao japo kama itawezekana waludie kama zamani hy ndo dira ye2 kubwa kumsaidia.Sasa naomba niliweke mezani 2weze kulita2a.
Ni mimi mpendwa wenu KOKUDO.
 
Binti bado hajatambua thamani ya penzi la jamaa.
Mwambie asitishe mawasiliano kama wiki hivi. Asimpigie simu wala asijibu msg ila binti akimpigia apokee.
Baada ya feedback ya hilo zoezi nitatoa ushauri mwingine.
 
Binti bado hajatambua thamani ya penzi la jamaa.
Mwambie asitishe mawasiliano kama wiki hivi. Asimpigie simu wala asijibu msg ila binti akimpigia apokee.
Baada ya feedback ya hilo zoezi nitatoa ushauri mwingine.
Asante hu'ninyo ntamwambia 2jaribu kuufanyia kazi.je akikaa kimya then na binti nae akae kimya itakuaje na hapo lazma jamaa niwe nae benet ingawa ucku sidhani kama atavumilia kutokumpigia cm.thanks
 
Hata hl la kua amepata mwingne linanijia sana make amebdlika kweli
 
katika mapenzi,raha mpendane,na hakuna kitu kinachoumiza mmoja kati ya mpenzi aanze kubadilika wakati wewe penzi bado lipo hot hot kwa mpenzi wako,utateseka kwa mawazo.iliyobaki amchunguze,maana wengine kukwambia basi hawawezi ila utaona vitendo tu.na akisharidhika,atafute ustaarabu wake na aikubali hali halisi.akiendelea kung'ang'ania ataishia kujitesa
 
Asante hu'ninyo ntamwambia 2jaribu kuufanyia kazi.je akikaa kimya then na binti nae akae kimya itakuaje na hapo lazma jamaa niwe nae benet ingawa ucku sidhani kama atavumilia kutokumpigia cm.thanks

ikipita wiki huyo dada hajamtafuta mshkaji ujue hakuna mapenzi hapo. Unaempenda huwezi kukaa wiki nzima hujawasiliana nae.
Siku tu haiwezi kupita hata kama upo busy.
 
Jamani naomba kutoa kisa hiki.Inaweza kua either uliwahi kuickia au kukutana nacho.
Ni kati ya wapenzi waliopenda sana kiac cha kila sehemu walikwenda wote walishrikiana kwa kila jambo mpaka mbele ya m2 atakaewaona alijua hawa ni wapenzi.Binti ni secretary kwenye stationary moja mjini hapa na jamaa anabiashara zake binafc.Hawa kila mmoja anaish kwake sasa hv jamaa anapelekwa puta binti hashikiki kila cku ni kusuruhisha ugomvi,binti amekua bize kupta kiac mpaka jamaa sasa utendaji wa kazi umeshuka.ki ukwel km ungewah kuwaona ungestaajabu sana.
Msaada:Jamaa anaonekana bdo anampenda binti na kwa khal hii cdhan km atakubal kumuacha.
Lakini pia kama kuna njia ya kulinusuru penzi hl tafadhar 2naomba msaada.
Na kama kuna dawa yaani aweze kulisahau penz hl itasaidia kwani inaoneka binti ameshaanza kutoa % kwa jamaa.
Angalizo:Ha2na nia ya kulivunja penzi lao japo kama itawezekana waludie kama zamani hy ndo dira ye2 kubwa kumsaidia.Sasa naomba niliweke mezani 2weze kulita2a.
Ni mimi mpendwa wenu KOKUDO.

Hata hl la kua amepata mwingne linanijia sana make amebdlika kweli

Kokudooooooooo hiyo bluuu hiyo
 
Yeah fata ushauri wa husninyo kae wiki bila kumtafuta na akipiga mwambie subiri nina kazi muhimu nitakupigia, badae tena usipige akipiga mwambie naongea na mzee hapa nikimaliza takupigia kaa kimya then ataona kama aaendelea kumtafuta,akiendelea ujue mapenzi yapo ila yuko bize au ni mkorofi tu,akikaa kimya ujue ana jambo huyo
 
kila k2 kna mwisho na hao mwisho wao umeshafika mwambie huyo jamaa asilazimishe sana kwani KUCHAMBA KWINGI MWISHOWE HUSHIKA MA*I,Kwani jamaa hana tv au hajui kusoma?atumie silaha hizi mbili atamsahau huyo kcheche na kupata machine mpya iliyochakachuliwa na wachina.mwambie asome alama za nyakati penzi lishaharibiwa hilo
 
Kokudo hii story kama wewe vile soma post namba 1 na soma post namba 5.

Umenichanganya
 
Jamani naomba kutoa kisa hiki.Inaweza kua either uliwahi kuickia au kukutana nacho.
Ni kati ya wapenzi waliopenda sana kiac cha kila sehemu walikwenda wote walishrikiana kwa kila jambo mpaka mbele ya m2 atakaewaona alijua hawa ni wapenzi.Binti ni secretary kwenye stationary moja mjini hapa na jamaa anabiashara zake binafc.Hawa kila mmoja anaish kwake sasa hv jamaa anapelekwa puta binti hashikiki kila cku ni kusuruhisha ugomvi,binti amekua bize kupta kiac mpaka jamaa sasa utendaji wa kazi umeshuka.ki ukwel km ungewah kuwaona ungestaajabu sana.
Msaada:Jamaa anaonekana bdo anampenda binti na kwa khal hii cdhan km atakubal kumuacha.
Lakini pia kama kuna njia ya kulinusuru penzi hl tafadhar 2naomba msaada.
Na kama kuna dawa yaani aweze kulisahau penz hl itasaidia kwani inaoneka binti ameshaanza kutoa % kwa jamaa.
Angalizo:Ha2na nia ya kulivunja penzi lao japo kama itawezekana waludie kama zamani hy ndo dira ye2 kubwa kumsaidia.Sasa naomba niliweke mezani 2weze kulita2a.
Ni mimi mpendwa wenu KOKUDO.

Kokudo Mkuu
Nadhani yapaswa tusilazimishe penzi ambalo halina manufaa kwa jamaa.
Kama binti kapata mshikaji mwingine penzi litavunjika tu
Jamaa kung'ang'ania kwa binti itaendelea kumuumiza tu badala ya kumtibu
Afuate ushauri wa Husninyo na kisukari then kila kitu kitakuwa kweupe
 
Hata hl la kua amepata mwingne linanijia sana make amebdlika kweli

Kokudooooooooo hiyo bluuu hiyo
Hapo kwenye blue hakuna shaka coz nilikua najibu hoja ya the hunter.pia nilijaribu kulifikisha hapa hvyo niliona niuvae uhusika ili ujumbe ufike msijari keybord ilijam.
 
Yes ndo mimi nilie andika but kisa hakinihusu labda nimeuvaa uhusika.ucjar Dena Amsi but ujumbe c umeeleweka?
 
Jamani naomba kutoa kisa hiki.Inaweza kua either uliwahi kuickia au kukutana nacho.
Ni kati ya wapenzi waliopenda sana kiac cha kila sehemu walikwenda wote walishrikiana kwa kila jambo mpaka mbele ya m2 atakaewaona alijua hawa ni wapenzi.Binti ni secretary kwenye stationary moja mjini hapa na jamaa anabiashara zake binafc.Hawa kila mmoja anaish kwake sasa hv jamaa anapelekwa puta binti hashikiki kila cku ni kusuruhisha ugomvi,binti amekua bize kupta kiac mpaka jamaa sasa utendaji wa kazi umeshuka.ki ukwel km ungewah kuwaona ungestaajabu sana.
Msaada:Jamaa anaonekana bdo anampenda binti na kwa khal hii cdhan km atakubal kumuacha.
Lakini pia kama kuna njia ya kulinusuru penzi hl tafadhar 2naomba msaada.
Na kama kuna dawa yaani aweze kulisahau penz hl itasaidia kwani inaoneka binti ameshaanza kutoa % kwa jamaa.
Angalizo:Ha2na nia ya kulivunja penzi lao japo kama itawezekana waludie kama zamani hy ndo dira ye2 kubwa kumsaidia.Sasa naomba niliweke mezani 2weze kulita2a.
Ni mimi mpendwa wenu KOKUDO.


ukweli ni huu tu na tena wa kisaikolojia.......rejeeni hapo kwenye reds tatizo la kwanza naliona kwa mvulana kwamba ana ugonjwa wa kumilikiwa na hisia au kitu....yaani possessed by possessions na akubali tu hata gari utaipenda ikiwa mpya sembuse mwanamke na hivyo ajue lazima mabadiliko yatokee na hata yeye huenda amebadilika pia cha kufanya aendane na mabadiliko ama ya dada kuwa busy au tabia mpya za dada.....na kuharibu kazi ikiwa sababu ni possessions basi jamaa yuko katika critical condition hivyo awaone wataalamu wa saikolojia.

Na huyu dada yupo busy kwa nyanja ipi....kwa kusema tu kwa jamaa kwa maneno au jamaa anaona live kuwa yupo busy na kama anaona yupo busy anachotakiwa kujua busy is life...ingawa madada wengi wanakasumba kama hakuhitaji anakwambia yupo busy sana kumbe ndiyo anaandaa sanda.



usilazimishe ukweli uwe kweli........maana hata uongo utaulazimisha uwe uongo.
 
ukweli ni huu tu na tena wa kisaikolojia.......rejeeni hapo kwenye reds tatizo la kwanza naliona kwa mvulana kwamba ana ugonjwa wa kumilikiwa na hisia au kitu....yaani possessed by possessions na akubali tu hata gari utaipenda ikiwa mpya sembuse mwanamke na hivyo ajue lazima mabadiliko yatokee na hata yeye huenda amebadilika pia cha kufanya aendane na mabadiliko ama ya dada kuwa busy au tabia mpya za dada.....na kuharibu kazi ikiwa sababu ni possessions basi jamaa yuko katika critical condition hivyo awaone wataalamu wa saikolojia.

Na huyu dada yupo busy kwa nyanja ipi....kwa kusema tu kwa jamaa kwa maneno au jamaa anaona live kuwa yupo busy na kama anaona yupo busy anachotakiwa kujua busy is life...ingawa madada wengi wanakasumba kama hakuhitaji anakwambia yupo busy sana kumbe ndiyo anaandaa sanda.



usilazimishe ukweli uwe kweli........maana hata uongo utaulazimisha uwe uongo.
Ushauli wako ni mzuri sana nimeufurahia sn kweli ukilazimsha uongo uwe ukweli utakua ukweli.
 
Back
Top Bottom