kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,546
- 1,662
Jamani naomba kutoa kisa hiki.Inaweza kua either uliwahi kuickia au kukutana nacho.
Ni kati ya wapenzi waliopenda sana kiac cha kila sehemu walikwenda wote walishrikiana kwa kila jambo mpaka mbele ya m2 atakaewaona alijua hawa ni wapenzi.Binti ni secretary kwenye stationary moja mjini hapa na jamaa anabiashara zake binafc.Hawa kila mmoja anaish kwake sasa hv jamaa anapelekwa puta binti hashikiki kila cku ni kusuruhisha ugomvi,binti amekua bize kupta kiac mpaka jamaa sasa utendaji wa kazi umeshuka.ki ukwel km ungewah kuwaona ungestaajabu sana.
Msaada:Jamaa anaonekana bdo anampenda binti na kwa khal hii cdhan km atakubal kumuacha.
Lakini pia kama kuna njia ya kulinusuru penzi hl tafadhar 2naomba msaada.
Na kama kuna dawa yaani aweze kulisahau penz hl itasaidia kwani inaoneka binti ameshaanza kutoa % kwa jamaa.
Angalizo:Ha2na nia ya kulivunja penzi lao japo kama itawezekana waludie kama zamani hy ndo dira ye2 kubwa kumsaidia.Sasa naomba niliweke mezani 2weze kulita2a.
Ni mimi mpendwa wenu KOKUDO.
Ni kati ya wapenzi waliopenda sana kiac cha kila sehemu walikwenda wote walishrikiana kwa kila jambo mpaka mbele ya m2 atakaewaona alijua hawa ni wapenzi.Binti ni secretary kwenye stationary moja mjini hapa na jamaa anabiashara zake binafc.Hawa kila mmoja anaish kwake sasa hv jamaa anapelekwa puta binti hashikiki kila cku ni kusuruhisha ugomvi,binti amekua bize kupta kiac mpaka jamaa sasa utendaji wa kazi umeshuka.ki ukwel km ungewah kuwaona ungestaajabu sana.
Msaada:Jamaa anaonekana bdo anampenda binti na kwa khal hii cdhan km atakubal kumuacha.
Lakini pia kama kuna njia ya kulinusuru penzi hl tafadhar 2naomba msaada.
Na kama kuna dawa yaani aweze kulisahau penz hl itasaidia kwani inaoneka binti ameshaanza kutoa % kwa jamaa.
Angalizo:Ha2na nia ya kulivunja penzi lao japo kama itawezekana waludie kama zamani hy ndo dira ye2 kubwa kumsaidia.Sasa naomba niliweke mezani 2weze kulita2a.
Ni mimi mpendwa wenu KOKUDO.