Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,146
- 13,216
Haya tena kumekucha..........mkuu wa Bunge amekazana kutoa ngoma droo na mkuu wa serikali.......kilichonisukuma hapa ni kwamba nimemfuatilia sana mama yetu akiwa safarini nje ya nchi anaondoa lile wigi na kusuka hivi (na anapendeza sana haata wengi waliwahi kuchangia humu) lakini kinachonishangaza ni kwamba akiwa mjengoni anatundika lile WIGI lake...Je ni ushauri wa kamati ya Ufundi????