Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
Kama wabunge wangekua wanaleta maendeleo basi zanzibar ingekua juu sana!
Mfano zanzibar watu elfu kumi wanawakilishwa na wabunge wawili wa kuchaguliwa hapo bado viti maalumu na kuteuliwa! Wote hao wanapata mshiko sawa kama wa mh Mdee ambaye anawakilisha watu zaidi ya laki tatu!
Mfano zanzibar watu elfu kumi wanawakilishwa na wabunge wawili wa kuchaguliwa hapo bado viti maalumu na kuteuliwa! Wote hao wanapata mshiko sawa kama wa mh Mdee ambaye anawakilisha watu zaidi ya laki tatu!