kwa sababu mkishawapachika mnawakimbia.
mbona kama inaelekea unajua majibu vile?Hiyi ni mojawapo ya sababu lakini ni sababu moja ndogo sana,wanazo sababu zao wanazozijua wenyewe ngoja waje..
mbona kama inaelekea unajua majibu vile?
ila ungesema tu sababu mana ameuliza na ajasema majibu yatoke kwa wasichana tu.Uko sahihi kwa kiasi kikubwa,lakini si vizuri kuusemea moyo wa mwenzako ndio maana nikasema ngoja waje wenyewe...
ila wakati mwingine hawa wenzetu ni katili sana wakiamua.shukuru mungu mmewatawala muda mrefu.kwa kigezo chochote huu nao ni ukatili.Hiyi ni mojawapo ya sababu lakini ni sababu moja ndogo sana,wanazo sababu zao wanazozijua wenyewe ngoja waje..
Hiyi ni mojawapo ya sababu lakini ni sababu moja ndogo sana,wanazo sababu zao wanazozijua wenyewe ngoja waje..
ila ungesema tu sababu mana ameuliza na ajasema majibu yatoke kwa wasichana tu.
Kwa nini unasema kukimbiwa ni sababu ndogo sana?
Samahani kwa kuwa nilichomaanisha sivyo ulivyonielewa,nilimaanisha kuwa kukimbiwa ni mojawapo ya sababu lakini zipo sababu nyingi sana zinazowafanya wasichana kutoa mimba zaidi ya kukimbiwa...
duh huyo mdada atakuwa anapepo siyo bure.Ombi limezingatiwa na nitakuwa tayari kurekebishwa kama nitakuwa nimekosea..
Sababu kuu ni mwenye ujauzito kutokuwa tayari kuzaa,na hii inatokana na sababu ndogondogo nyingi sana baadhi ni kama kutomjua mhusika wa ujauzito yaani aliyempa mimba hiyo,au aliyempa mimba hana uwezo wa kuitunza mimba hiyo na hana uelekeo wa kuwa na msimamo wa maisha,na wakati mwingine binti anaweza kuwa masomoni na hataki kufukuzwa shule kwa kosa la kuwa mjamzito,inaweza kutokea pia pale mimba inapohatarisha afya ya mzazi,wapo pia wanaotoa mimba baada ya kusalitiwa na wenzi wao kimapenzi na kuamua kumalizia hasira zao kwa viumbe wasio na hatia,na wapo wengine wanapenda tu mfano juzijuzi tu nilikuwa naongea na binti mmoja na akanitamkia bila wasiwasi kuwa yeye anapenda zile hisia anazozipata akifanya mapenzi na kushika mimba lakini hapendi kuzaa hivyo anachofanya ni kushika mimba na kuitoa baada ya miezi miwili na amekwishatoa kama saba hivi.Mengine nasisitiza bado nawaachia wahusika naogopa nisije kuundiwa tume bure...
duh huyo mdada atakuwa anapepo siyo bure.
kweli kabisa hili linabidi lizingatiwe.Nimekuelewa sasa. Ila iwe kukimbiwa au sababu nyingine yeyote isiyo ya kiafya haitakiwi kuhalalisha utoaji mimba.
hicho kilema si cha bure........ila ukizoea kufanya jambo fulani inafikia muda unaliona la kawaida sana na huyo mdada anahitaji mtu ambaye atamwonyesha picha za jinsi mimba zinavyotolewa may be anaweza akabadilika.Hiyo inaitwa majuu hamnazo na ukimuangalia huwezi kugundua tatizo lolote lakini naye ndio kilema chake hicho..
Ombi limezingatiwa na nitakuwa tayari kurekebishwa kama nitakuwa nimekosea..
Sababu kuu ni mwenye ujauzito kutokuwa tayari kuzaa,na hii inatokana na sababu ndogondogo nyingi sana baadhi ni kama kutomjua mhusika wa ujauzito yaani aliyempa mimba hiyo,au aliyempa mimba hana uwezo wa kuitunza mimba hiyo na hana uelekeo wa kuwa na msimamo wa maisha,na wakati mwingine binti anaweza kuwa masomoni na hataki kufukuzwa shule kwa kosa la kuwa mjamzito,inaweza kutokea pia pale mimba inapohatarisha afya ya mzazi,wapo pia wanaotoa mimba baada ya kusalitiwa na wenzi wao kimapenzi na kuamua kumalizia hasira zao kwa viumbe wasio na hatia,na wapo wengine wanapenda tu mfano juzijuzi tu nilikuwa naongea na binti mmoja na akanitamkia bila wasiwasi kuwa yeye anapenda zile hisia anazozipata akifanya mapenzi na kushika mimba lakini hapendi kuzaa hivyo anachofanya ni kushika mimba na kuitoa baada ya miezi miwili na amekwishatoa kama saba hivi.Mengine nasisitiza bado nawaachia wahusika naogopa nisije kuundiwa tume bure...