mende 2014
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 763
- 131
Hapa Tanzania kuna wanawake wanaovaa mavazi ya kuiaibisha jamii ambapo wengine wanatembea na nguo zingine nusu uchi kabisa. Je, kwa nini Tanzania isitunge sheria kama Uganda?
hiyo katiba imewashinda sembuse nguo fupi?hachapwi mtu wala nn.kwanza viongozi wetu wote wanapenda.dar joto jamaniEm wasirisha hoja yako fasta bungeni kabla wazee hawajamaliza huenda likafanyiwa kazi loh!! Si muwachapee??eboh!