Kwa nini Serikali imeshindwa kuwalipa waathirika wa MABOMU wa GONGO LA MBOTO?

Mutta

Senior Member
Mar 24, 2011
101
11
Ni zaidi ya miezi 11 tangu milipuko ya mabomu ya GONGOLAMBOTO itokee.Lakini serikali haijawajengea nyumba waathirika wala wale WALIOPOTEZA VIUNGO kwa uzembe wa Serikali.Cha kushangaza wamepewa viwanja wa mafuriko kabla watu wa Gongolamboto kupata viwanja na kujengewa nyumba.Cha kujiuliza MABWEPANDE imejulikana baada ya mafuriko?Watu waliopoteza viungo wao wanasubiri nini huku wakiteseka? Naomba SERIKALI YA KIKWETE imalizane na watu wa MABOMU kwanza.Naamini peza zilizochangwa na taasisi mbalimbali zipo.WAHURUMIENI watu hao.
 
Mutta!
Kwa nini walipwe jaribu just take time and read. Nimekwisha sema " A leader is a mirror image of the people he is leading" kwa kuwa I have also stressed that "President Jakaya Mrisho Kikwete is not serious" by default "Tanzanians are not serious " . Utawalipaje watu ambao hawako serious. Kwa hiyo hawakulipa kwa sababu ni walipoichagua CCM then wakubali matokeo. Mbagala hawakulipwa na bado wakaichagua CCM then kutokulipwa sawa tu mbona aliyelipua maghala hayo Shimbo bado yupo anapeta? Kalakabaho tumieni mtaji wa maskini Kama alivyosema Mkapa!
 
Back
Top Bottom