AridityIndex
Senior Member
- Mar 22, 2011
- 149
- 38
Nimetafakari kwa kina juu ya suala hili sijapata jibu, naombeni kushare na wana JF wenzangu kulikoni katika hili. Nimepata kusoma katika makala nyingi sana hapa JF na kwingineko zikisisitiza kuwa katika mikoa hii ya pwani ikiwemo Lindi, Pwani na Mtwara ni mikoa ambayo iko nyuma kielimu kuliko mikoa mingine TZ. Tena makala hizo hazikuisha kutaja mikoa ya kanda ya kaskazini ukiwemo Kilimanjaro kuwa ni the best watu wamekula nondoz huko ni balaa na kila penye waTZ 10 wenye kazi nzuri basi 3 hadi 4 wametokea kilimanjaro. Yes wamesoma tena wamesoma vizuri hili halina ubishi, kwa nini wametutangulia watz wengine katika hili nadhani kila mtu anafahamu, na hiyo siyo hoja kwa thread hii.
Maswali .
Ni kwanini juhudi za kuelimisha watanzania zinaendelea kuelekezwa huko zaidi ya yale maeneo yaliyopo nyuma kama Lindi, Pwani na Mtwara?.
Je kuna uhusiano kati ya watoa maamuzi yaani wale walioshika nafasi hivi sasa na uamuzi wanaoufanya wa kuelekeza rasilimali nyingi katika maeneo yao?
Na je kwa haya maeneo ambayo kila mmoja wetu anakiri kuwa yapo nyuma kielimu yataendelezwaje iwapo wale walioko mbele bado wanaelekeza rasilimali zinazopatikana pamoja na miradi katika maeneo yao?.
kampuni ya bia ya Afrika Mashariki (EABL)ni mfano mmojawapo tu lakini mambo haya yako sehemu nyingi TZ
Jamani naomba ushauri wenu, hoja za msingi zitawafikia wabunge wa eneo hilo pia.
unaweza kupata maelezo kutoka kwa kampuni ya bia ya Afrika Mashariki (EABL) juu ya mradi wa kusomesha nje watoto wa Kilimanjaro kwenye gazete la T/daima ya leo.
http://http://www.freemedia.co.tz/da...i.php?id=29853
Maswali .
Ni kwanini juhudi za kuelimisha watanzania zinaendelea kuelekezwa huko zaidi ya yale maeneo yaliyopo nyuma kama Lindi, Pwani na Mtwara?.
Je kuna uhusiano kati ya watoa maamuzi yaani wale walioshika nafasi hivi sasa na uamuzi wanaoufanya wa kuelekeza rasilimali nyingi katika maeneo yao?
Na je kwa haya maeneo ambayo kila mmoja wetu anakiri kuwa yapo nyuma kielimu yataendelezwaje iwapo wale walioko mbele bado wanaelekeza rasilimali zinazopatikana pamoja na miradi katika maeneo yao?.
kampuni ya bia ya Afrika Mashariki (EABL)ni mfano mmojawapo tu lakini mambo haya yako sehemu nyingi TZ
Jamani naomba ushauri wenu, hoja za msingi zitawafikia wabunge wa eneo hilo pia.
unaweza kupata maelezo kutoka kwa kampuni ya bia ya Afrika Mashariki (EABL) juu ya mradi wa kusomesha nje watoto wa Kilimanjaro kwenye gazete la T/daima ya leo.
http://http://www.freemedia.co.tz/da...i.php?id=29853