Kwa nini mashirika yasomeshe watoto wa Kilimanjaro nje badala ya Pwani, Lindi, na Mtwara?

AridityIndex

Senior Member
Mar 22, 2011
149
38
Nimetafakari kwa kina juu ya suala hili sijapata jibu, naombeni kushare na wana JF wenzangu kulikoni katika hili. Nimepata kusoma katika makala nyingi sana hapa JF na kwingineko zikisisitiza kuwa katika mikoa hii ya pwani ikiwemo Lindi, Pwani na Mtwara ni mikoa ambayo iko nyuma kielimu kuliko mikoa mingine TZ. Tena makala hizo hazikuisha kutaja mikoa ya kanda ya kaskazini ukiwemo Kilimanjaro kuwa ni the best watu wamekula nondoz huko ni balaa na kila penye waTZ 10 wenye kazi nzuri basi 3 hadi 4 wametokea kilimanjaro. Yes wamesoma tena wamesoma vizuri hili halina ubishi, kwa nini wametutangulia watz wengine katika hili nadhani kila mtu anafahamu, na hiyo siyo hoja kwa thread hii.

Maswali .

Ni kwanini juhudi za kuelimisha watanzania zinaendelea kuelekezwa huko zaidi ya yale maeneo yaliyopo nyuma kama Lindi, Pwani na Mtwara?.

Je kuna uhusiano kati ya watoa maamuzi yaani wale walioshika nafasi hivi sasa na uamuzi wanaoufanya wa kuelekeza rasilimali nyingi katika maeneo yao?

Na je kwa haya maeneo ambayo kila mmoja wetu anakiri kuwa yapo nyuma kielimu yataendelezwaje iwapo wale walioko mbele bado wanaelekeza rasilimali zinazopatikana pamoja na miradi katika maeneo yao?.

kampuni ya bia ya Afrika Mashariki (EABL)ni mfano mmojawapo tu lakini mambo haya yako sehemu nyingi TZ

Jamani naomba ushauri wenu, hoja za msingi zitawafikia wabunge wa eneo hilo pia.

unaweza kupata maelezo kutoka kwa kampuni ya bia ya Afrika Mashariki (EABL) juu ya mradi wa kusomesha nje watoto wa Kilimanjaro kwenye gazete la T/daima ya leo.
http://http://www.freemedia.co.tz/da...i.php?id=29853
 
Nimetafakari kwa kina juu ya suala hili sijapata jibu, naombeni kushare na wana JF wenzangu kulikoni katika hili. Nimepata kusoma katika makala nyingi sana hapa JF na kwingineko zikisisitiza kuwa katika mikoa hii ya pwani ikiwemo Lindi, Pwani na Mtwara ni mikoa ambayo iko nyuma kielimu kuliko mikoa mingine TZ. Tena makala hizo hazikuisha kutaja mikoa ya kanda ya kaskazini ukiwemo Kilimanjaro kuwa ni the best watu wamekula nondoz huko ni balaa na kila penye waTZ 10 wenye kazi nzuri basi 3 hadi 4 wametokea kilimanjaro. Yes wamesoma tena wamesoma vizuri hili halina ubishi, kwa nini wametutangulia watz wengine katika hili nadhani kila mtu anafahamu, na hiyo siyo hoja kwa thread hii.

Maswali .

Ni kwanini juhudi za kuelimisha watanzania zinaendelea kuelekezwa huko zaidi ya yale maeneo yaliyopo nyuma kama Lindi, Pwani na Mtwara?.

Je kuna uhusiano kati ya watoa maamuzi yaani wale walioshika nafasi hivi sasa na uamuzi wanaoufanya wa kuelekeza rasilimali nyingi katika maeneo yao?

Na je kwa haya maeneo ambayo kila mmoja wetu anakiri kuwa yapo nyuma kielimu yataendelezwaje iwapo wale walioko mbele bado wanaelekeza rasilimali zinazopatikana pamoja na miradi katika maeneo yao?.

kampuni ya bia ya Afrika Mashariki (EABL)ni mfano mmojawapo tu lakini mambo haya yako sehemu nyingi TZ

Jamani naomba ushauri wenu, hoja za msingi zitawafikia wabunge wa eneo hilo pia.

unaweza kupata maelezo kutoka kwa kampuni ya bia ya Afrika Mashariki (EABL) juu ya mradi wa kusomesha nje watoto wa Kilimanjaro kwenye gazete la T/daima ya leo.
http://http://www.freemedia.co.tz/da...i.php?id=29853



Aliye nacho huongezewa na yule asiyenacho hunyang'anywa kile kidogo na kupewa yule aliyenacho. this is how it is sorry for that
 
Jana niliona majibu mazuri tu sasa cjui unataka nini tena???
Hata simba akipata mzoga hapeleki kwenye kundi la fisi, ujitosheleza wao kwanza then mabaki ndio ya fisi
 
Nilikuwa silijui hilo ila nafikiri ni kwasababu na wao hawajiweki nyuma nyuma. Hata viongozi wao nahisi wanajibidiisha katika hilo.
Viongozi wa pwani, lindi na nyie changamkeni sio mnalala lala tu. Lol!
 
Back
Top Bottom