Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,913
- 2,792
Nimebandika hivi baada ya kuona kupitia runinga, tunzo za kili. Wasanii waliopata tunzo walitoa shukrani zao bila kumsahau mama. Hakuna hata mmoja aliyewashukuru wazazi (baba akiwepo). Au ndio mfumo jike? Hii inaanza kutia hofu. Wapi nafasi ya baba katika mafanikio ya kijana?