Wana jf nimekuwa nikifikiria sana kama kuna uwezekano tanzania kuwe na utawala wa majimbo kama sera ya chadema ilivyokuwa inanadi
labda maendeleo tutayaona kwa mfano:
Iringa, njoruma, mbeya, rukwa na ruvuma wanakuwa na gavana wao
morogoro,dodoma singida, pia nk
nawasilisha
labda maendeleo tutayaona kwa mfano:
Iringa, njoruma, mbeya, rukwa na ruvuma wanakuwa na gavana wao
morogoro,dodoma singida, pia nk
nawasilisha