kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
Mi ninajiuliza hili swali sana sipati jibu.kwa nini kila kukicha wtz tunakuwa wajinga,tunakosa UZALENDO na ubunifu.ninasoma historia ya Mkwawa hapa jamaa alikuwa na akili sana na UZALENDO wa hali ya juu.wajerumani walipata tabu kubwa kuliko sehemu nyingine walizo tawala.sijui kwanini? hakupewa nishani ya uhuru.hoja yng kwa nini? Kizazi hiki hakuna wa aina ya mkwawa?.kadri siku zinavyo kwenda ata watu aina ya slaa hawataoneka sijui nchi itakuwa je?. Au ni haya madawa,vipodozi,net,vyakula vya makopo na tv za ughaibuni?.nisaidieni wadau.