Eti wafikiriaji kwa nini mauaji na tabia za kinyama tumekuwa tukizishuhudia ZAIDI katika mkoa wa Mara na si mikoa mingine nchini? Nini tatizo kwa wenzetu hawa hivi kuna study yoyote ya kisayansi imeshafanywa kujua tatizo la hawa mabwana
Nna hofu kuna siku watakuja kufanyiana mambo ya kirwanda rwanda (Mungu atuepushe)
Nna hofu kuna siku watakuja kufanyiana mambo ya kirwanda rwanda (Mungu atuepushe)