Kama mtu alidokoa nyama miaka mitano iliyopita then last year hakudokoa kwangu mimi kwenye file lake naandika ana tabia ya udokozi.Sasa Slaa wenu ni kigeugeu.That's it.
Kumbe kadokoa nyama miaka mitano iliyopita bado unakumbuka hilo. Mbona sasa unasahau haraka wanaodokoa hata sasa? Au kwa vile ni wengi na akili yako ni ndogo hivyo sio rahisi kuwashika wote hawa wa sasa, ukabaki na huyo wa zamani ambapo akili yako bado ilikuwa inashika. Sasa kama una akili ndogo kiasi hicho kwanini ujiingize kwenye mijadala mikubwa? Sio lazima ujadili wewe kama huna uwezo nao.