Habari wadau,
Mm Nina simu kubwa mbili ambazo natumia laini tatu za mitandao tafauti Zazntel,Vodacom na halotel.
Laini hizo zote nazitumia kwa matuizi ya internet ambapo Mara nyingi huaga naweka salio la 1000 kwa kila laini lakini nilichogundua bando la zantel Mara zote huaga linachelewa kuisha kulingana na mitandao mingine.
Kwa mfano halotel unapata GB 1 kwa buku na zantel unapata 750MB tu kwa buku hiyo hiyo. Lakini ukiangalia movie ya Aina moja YouTube unakuta halotel GB1 zinawah kuisha.
kuliko 750mb zantel.
Nimefanya hivyo Mara kadhaa lakini matokeo hayatafautiani na hata Voda pia Ni Kama halotel tu.
Naomba ufafanuz juu ya Hilo Kama wapo wanaujua.
Mm Nina simu kubwa mbili ambazo natumia laini tatu za mitandao tafauti Zazntel,Vodacom na halotel.
Laini hizo zote nazitumia kwa matuizi ya internet ambapo Mara nyingi huaga naweka salio la 1000 kwa kila laini lakini nilichogundua bando la zantel Mara zote huaga linachelewa kuisha kulingana na mitandao mingine.
Kwa mfano halotel unapata GB 1 kwa buku na zantel unapata 750MB tu kwa buku hiyo hiyo. Lakini ukiangalia movie ya Aina moja YouTube unakuta halotel GB1 zinawah kuisha.
kuliko 750mb zantel.
Nimefanya hivyo Mara kadhaa lakini matokeo hayatafautiani na hata Voda pia Ni Kama halotel tu.
Naomba ufafanuz juu ya Hilo Kama wapo wanaujua.