kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 597
- 145
Inaonyesha idadi kubwa ya viongozi wa Afrika wanapoingia madarakani huwa na lengo la kujinufaisha wao na wale wanaomzunguka na kuwasahau wale waliowachagua. Je, ni mdudu gani aliyeingia katika nafsi zao hadi wanakosa uadilifu? Je hawatamani kupata zawadi ya MO Ibrahim?