sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Lowasa huyo hata ukimuuliza mtoto atakwambia hapana manake hajifichi, sitta amezidi unafki sana, yaani anaeza kukuua huku anakuchekea!Kwani kati ya sita na lowasa bora nani? Maana lowasa ana kashfa ambazo kwa serikali ambayo ni shupavu na imara angekuwa ashafungwa na kunyongwa siku nyingi sana, jambo kubwa kwake yeye la kumshukuru Mungu ni kutozaliwa CHINA na kuzaliwa nchi kama TZ yenye serikali legelege na inayojua kubebana yenyewe ndani ya chama chao