wametuhadaa wakatumia nguvu zetu katika kuwapamba na kuwabeba..,
wametufanya tupigwe risasi na kuuawa wakaita vifi vya kishujaa..,
wametuibia na kufanya ufisadi wakidai ni akiba ya kizazi chao kijacho..,
wanagawana vyeo kwa hila wakituambia tusubiri muda wetu bado..,
wanatumia midomo yetu kusemea ajenda zao..,
wanatuahidi madaraka na kutupa vifo..,
vijana kwa pamoja tuseme NO COUNTRY FOR OLD MEN...!