William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Shein alipitishwa kugombea si kwa uwezo wake bali upole na ukasuku. Pia ni mpango mkakati wa kumzima mpinga muungano Bilali aliyekuwa na nafasi kubwa ya kuwa raisi.
Mafanikio kwa UKRISTO.
Huu ni wakati wa kuudhilisha ukiristo wetu kwa kutowaza kisasi wara hasira.
Wanaochoma makanisa tuwaombee msamaha waachwe huru. Tuwaombee roho zao zipate ufahamu watende mungu atakavyo.
Tusitoe matamko makali zidi ya uislam kwan ata msingi wa uislam ni amani.
Tuamini kama Mungu ndiye aliyejenga nyumba za ibada basi atatupa uwezo wa kujenga makanisa mengine makubwa kuliko hayo.
WAUMINI WA KIKIRISTO KOTE WALIKO WAUNGANE JUMAPILI IJAYO WAFANYE ARAMBEE YA KUJENGA MAKANISA MENGINE MAKUBWA NA MAZURI ZAIDI ZANZIBAR Kufidia yaliyochomwa.
Majaribu hayaepukiki ila ole anay...
Mungu na atufanye chombo cha Amani.
Tusiombe fidia mtu yoyote kwani Mungu katupa nguvu na akili tukiungana tunaweza
Tuungane wakristu wote tuchangie zanzibar, Elimu duni, Miundombinu mibovu na majanga vinaiangamiza
Mpende adui yako, Mwombee anayekuuzi ili mungu ambariki na asikuuzi tena. Ktk hili someni Math 5-7(mahubiri ya yesu Mlimani)
Mkienenda kinyume nanyi hamsaili kuitwa wakristo bali watu wa mataifa.
Selikali sasa ianze kuona haja ya kushugulikia kero za wananchi na si kujificha na kuwaziba midomo wachache wanazitoa kero hizo. Kwani ni muda sasa kero zimekuwa mtaji wa wapigakelele ambao hupewa vyeo
Mjadala wa katiba uwe wazi kama wengi Zanzibar hawautaki muungano na Tuachane kwa AMANI tusijeachana kwa shari kama ETHIOPIA NA ERITRIA, SUDAN, KOREA au URUSI.
Tukashindwa kutembeleana. Kama kunahaja tutaungana tena Kama UJERUMANI wananchi wote wakiamua. Kwani muungano ni kwaajiri ya wananchi na si Viongozi.
MUNGU IBARIKI ZANZIBAR
MUNGU IBARIKI TANGANYIKA
SIKUZOTE MAPINDUZI HUANZISHWA NA ''WAHUNI".
Mafanikio kwa UKRISTO.
Huu ni wakati wa kuudhilisha ukiristo wetu kwa kutowaza kisasi wara hasira.
Wanaochoma makanisa tuwaombee msamaha waachwe huru. Tuwaombee roho zao zipate ufahamu watende mungu atakavyo.
Tusitoe matamko makali zidi ya uislam kwan ata msingi wa uislam ni amani.
Tuamini kama Mungu ndiye aliyejenga nyumba za ibada basi atatupa uwezo wa kujenga makanisa mengine makubwa kuliko hayo.
WAUMINI WA KIKIRISTO KOTE WALIKO WAUNGANE JUMAPILI IJAYO WAFANYE ARAMBEE YA KUJENGA MAKANISA MENGINE MAKUBWA NA MAZURI ZAIDI ZANZIBAR Kufidia yaliyochomwa.
Majaribu hayaepukiki ila ole anay...
Mungu na atufanye chombo cha Amani.
Tusiombe fidia mtu yoyote kwani Mungu katupa nguvu na akili tukiungana tunaweza
Tuungane wakristu wote tuchangie zanzibar, Elimu duni, Miundombinu mibovu na majanga vinaiangamiza
Mpende adui yako, Mwombee anayekuuzi ili mungu ambariki na asikuuzi tena. Ktk hili someni Math 5-7(mahubiri ya yesu Mlimani)
Mkienenda kinyume nanyi hamsaili kuitwa wakristo bali watu wa mataifa.
Selikali sasa ianze kuona haja ya kushugulikia kero za wananchi na si kujificha na kuwaziba midomo wachache wanazitoa kero hizo. Kwani ni muda sasa kero zimekuwa mtaji wa wapigakelele ambao hupewa vyeo
Mjadala wa katiba uwe wazi kama wengi Zanzibar hawautaki muungano na Tuachane kwa AMANI tusijeachana kwa shari kama ETHIOPIA NA ERITRIA, SUDAN, KOREA au URUSI.
Tukashindwa kutembeleana. Kama kunahaja tutaungana tena Kama UJERUMANI wananchi wote wakiamua. Kwani muungano ni kwaajiri ya wananchi na si Viongozi.
MUNGU IBARIKI ZANZIBAR
MUNGU IBARIKI TANGANYIKA
SIKUZOTE MAPINDUZI HUANZISHWA NA ''WAHUNI".