BekaNurdin
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,267
- 2,041
Dua la kuku halimpati mwewe!Sitoshangaa SGR ikiharibika bila kufanya kazi
Dua la kuku halimpati mwewe!Sitoshangaa SGR ikiharibika bila kufanya kazi
SGR na Bwawa vitakamilika JK atakapokuwa hayupo duniani.
Nafikiri kuna upungufu kidogo wa kujua chimbuko la SGR ni serikali ya awamu ya nne na ilikuwa iunganishwe na Bandari ya Bagamoyo na Dar es Salaam ielekee Rwanda, Burundi and Congo. Huku reli hii ingelipa katika kipindi kifupi na kwa manufaa makubwa kwa nchi.Huyo ndiye hadui wa nchi ,team yake inachukia miradi ya serikali kwa kuwa itaharibu uchukuzi wa magari yao
Hii vita ya serikali na matajili wa maroli sidhani kama chief Hangaya ataiweza.
Ukitilia umuhimu wenye maroli ndiyo wenye chama
Kumbe mpuuzi ni mpuuzi. Kama ungekuwa ni mtu mzima siyo kichelema ningekukumbusha nyumba za ghorofa huko Zanzibar ambazo nikiwa darasa la 7 Karume aliuawa bila hizo nyumba kukamilika. Lakini alipotawala mtoto wake zilimalizika. Nakuapia miradi ya Jembe JPM itamalizika tuNdoto za alinacha hakuna mtu wa kukamilisha miradi ya mtu mmoja
Kwa vile JPM alikuwa anakwepa miradi ya ufisadi ya JK na sasa kibao kinamgeukia kwa vile hayupo. Tunaoumia ni sie nyika. Usisahau wakigombana mafahari wawili ziumiazo ni nyikaHebu tuambie babu kwanini umesema hivyo?
JK ndo kubwa la maadui!Samahani sana hebu muache jk ana kosa gani,kwanini usisome kilichoandikwa kwanza ndipo utoe lawama
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Bado akili haijakomaa. Kuna jamaa humu aliandika kuwa sasa vyuma vimelegea kwa vile wakubwa wanadonoa donoa ingawa sisi bado hali ni ngumu kama wakati wa JPM. Hujui kuwa Rais kwetu hapa ni Mungu mdogo kikatiba?Kwa hiyo JK ana nguvu kuliko nyie wote wa chama cha majizi.
Sasa kama Tz haitoi hata Tsh 5 si ndo nchi inaolewa Sasa????Wabongo kwa lawama siwawezi, kosa la hangaya hapo ni nini? Jiwe mwenyewe alituhakikishia dar to moro Nov 2019 tutaanza kupanda sgr je ilpofika mzalendo mulimuuliza imekuwaje tena bado? Huyo huyo mzalendo akatudanganya tena April 2020 kinawashwa, je sgr iliwaka? Asa Maza hapo analaumiwa nini si jiwe alikuwa bado hajafa? Asaiv mmerukia bandari ya bagamoyo wakati Maza kawahakikishia tz hatoi hata shingi tano kwenye huo mradi.
Nakubaliana na wewe ila uangalifu unahitajika ili tuweze kuimaliza bila kuleta madhara kwenye uchumi. Kuna vitu haviwezi kusimama ila sio SGR we have to prioritise our things. We have to invest where we can reap up the return quickly. Hatuwezi ku invest na kusubiri kudra za Mungu kupata returns. Wachumi wanajua ninachokizungumza.Kumbe mpuuzi ni mpuuzi. Kama ungekuwa ni mtu mzima siyo kichelema ningekukumbusha nyumba za ghorofa huko Zanzibar ambazo nikiwa darasa la 7 Karume aliuawa bila hizo nyumba kukamilika. Lakini alipotawala mtoto wake zilimalizika. Nakuapia miradi ya Jembe JPM itamalizika tu
Ina maana kama hatoi hata shilingi tano maana yake haji kuchukua hata shilingi.....Wabongo kwa lawama siwawezi, kosa la hangaya hapo ni nini? Jiwe mwenyewe alituhakikishia dar to moro Nov 2019 tutaanza kupanda sgr je ilpofika mzalendo mulimuuliza imekuwaje tena bado? Huyo huyo mzalendo akatudanganya tena April 2020 kinawashwa, je sgr iliwaka? Asa Maza hapo analaumiwa nini si jiwe alikuwa bado hajafa? Asaiv mmerukia bandari ya bagamoyo wakati Maza kawahakikishia tz hatoi hata shingi tano kwenye huo mradi.
Ni sawa, mimi na wewe tulitegemea SGR iishe jana, hata Bwawa likamilike juzi pamoja na kupata crane ya tone 36+; ila sote siyo decission makers. Hivyo tunayaachia muumba.Nakubaliana na wewe ila uangalifu unahitajika ili tuweze kuimaliza bila kuleta madhara kwenye uchumi. Kuna vitu haviwezi kusimama ila sio SGR we have to prioritise our things. We have to invest where we can reap up the return quickly. Hatuwezi ku invest na kusubiri kudra za Mungu kupata returns. Wachumi wanajua ninachokizungumza.
Hakuna mradi utakao kamilika hapoKumbe mpuuzi ni mpuuzi. Kama ungekuwa ni mtu mzima siyo kichelema ningekukumbusha nyumba za ghorofa huko Zanzibar ambazo nikiwa darasa la 7 Karume aliuawa bila hizo nyumba kukamilika. Lakini alipotawala mtoto wake zilimalizika. Nakuapia miradi ya Jembe JPM itamalizika tu
Umesema ukweli mtupuWamachinga kama ni Wazalendo, Serikali iwape ndoo waende wakalijaze Bwawa la Nyerere.
koro-boy imagine mtu kama huyu au Tundu Lissu, wenye husuda na nchi hii wangekuwa ni decision takers wa nchi hii, nini kingefanyika? Huwezi kuwa na jinsi bali kusubiri kudra za mwenyezi mungu.Hakuna mradi utakao kamilika hapo