Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
Lately I have noticed a trend here. The trend is male bashing by the female members of this forum. A day doesn't go out without a thread being started that in one way or the other is about bashing men as if they (women) are so wholesome and do nothing wrong that can ruin a relationship. So, in the interest of bringing balance, here I come with a thread that should serve as an outlet for us fellas to register our pet peeves that we have about women......
Na sisi akina kaka, kwa mitazamo yetu, ni mambo yepi ambayo huweza kuharibu uhusiano ulio nao na mwenza wako?
Mimi naanza na haya machache:
1. Usafi/ uchafu. Hili ni eneo kubwa sana lakini nitajitahidi kutoa muhtasari. Kwanza, usafi wa mwili. Sipendi mwanamke ambaye ni mchafu - asiyejua usafi wa kinywa, asiyejisafisha mwili wake vizuri, na asiyetunza vizuri mazingira aishiyo. Siyo nakuja nyumbani kwako halafu nakuta mi-tampon iliyotumika inazagaa zagaa chumbani kwako na bafuni. Ukishatumia hivyo vitu, tupa nje kwenye jalala/ dumpster.
Haya endeleeni na wengine....
Na sisi akina kaka, kwa mitazamo yetu, ni mambo yepi ambayo huweza kuharibu uhusiano ulio nao na mwenza wako?
Mimi naanza na haya machache:
1. Usafi/ uchafu. Hili ni eneo kubwa sana lakini nitajitahidi kutoa muhtasari. Kwanza, usafi wa mwili. Sipendi mwanamke ambaye ni mchafu - asiyejua usafi wa kinywa, asiyejisafisha mwili wake vizuri, na asiyetunza vizuri mazingira aishiyo. Siyo nakuja nyumbani kwako halafu nakuta mi-tampon iliyotumika inazagaa zagaa chumbani kwako na bafuni. Ukishatumia hivyo vitu, tupa nje kwenye jalala/ dumpster.
Haya endeleeni na wengine....