Danp36
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,097
- 922
Habari Za majukumu wanajamvu,
Katika pitapita zangu, nimekuja tembea mkoa wa tabora, na nimeupenda, naweza weka kambi kwa mda .
Naombeni ushauri wajuzi wa huu mkoa ,Biashara gani naweza fanya hapa mkoani kwa mtaji wa mil 5 hadi 10?
Nitashukuru kwa ushauri.
Asanteni
Katika pitapita zangu, nimekuja tembea mkoa wa tabora, na nimeupenda, naweza weka kambi kwa mda .
Naombeni ushauri wajuzi wa huu mkoa ,Biashara gani naweza fanya hapa mkoani kwa mtaji wa mil 5 hadi 10?
Nitashukuru kwa ushauri.
Asanteni