Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,200
- 820
Maumivu ya miguu huanza polepole :sick:
Ni kweli kabisa baada ya muda utasikilizia habari kwenye magoti!
Maumivu ya miguu huanza polepole :sick:
Wanaume wa Arusha baada ya miaka kama 5-6 ijayo watakuwa wanatembelea wheelchair kwaajili ya kula nyama za mbuzi kutokana na ugonjwa wa GAUTi miguu/mikono/vidole kuvimba na kujaa maji! inabidi serikali ifanye jitahada ya kuwaokoa!