Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,753
Sasa swali ni kwa nini serikali hio ilikua inahaha jamaa asigombee wala kuchaguliwa kama hawezi ifanya kitu serikali...Mjadala wangu unawalenga wale wanaomshangilia leo Tundu Lissu kwa kuamini kuwa TLS itashindana na Serikali