Kwa matusi haya Nape hastahili kuwa kiongozi

mtama tutampa

kumpa mtama siyo mbaya lakini kura hatumpi piga ua, uongozi ni pamoja na hekima, mtu anatukana kama kaokotwa alafu leo tuone fahari kwamba ni kiongozi wetu, yeye tumeisha mlipa hayo matusi yake
 
Pole Rais wetu, achana na kujibu matusi na kashfa za watu wehuuuuuu, MUNGU AKULINDE NA AKUPE MAISHA MAREFU
 
Asaaa we unamteteaa nape kwa maneonoo yakee lamzaa tukushangaeeee

Onyesha hilo tusi la nape liko wapi? Wacha porojo.

Hata Mkapa alivyowaambia ni "wapumbavu na malofa" mkasema anawatukana lakini mkaacha tena kutumia neno "ukombozi".
 
Huyu ndugu anayo familia? na anaporejea nyumbani watoto wanasema shikamoo baba, tumekuona ukinguruma jukwaani? wale watoto wanaowavutia kwenye fiesta za kampeni wanajifunza nini kutoka kwa dubwasha hili?
 
Ni dhahiri wameshikwa pabaya ndio maana wamepanic ila huyu jamaa huwa namuona ni chizi fresh tangu ata kabla ya hekaheka za kampeni. Hivi huwa hagongi kweli vyombo huyu..
VIVA UKAWA!!!
Bro unamaanisha shanga zikidondoka anainama kuokota ama
 
Huyu ndugu anayo familia? na anaporejea nyumbani watoto wanasema shikamoo baba, tumekuona ukinguruma jukwaani? wale watoto wanaowavutia kwenye fiesta za kampeni wanajifunza nini kutoka kwa dubwasha hili?

Ndugu yangu angalia ujana wa Nnape na cheki umbile lake utaelewa kwa nini ni kijana mjinga ambaye hajajajitambua kwamba yeye ni mgonjwa kuliko anao watukana!
 
Back
Top Bottom