Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Wana jamvi tumekuwa tukishuhudia matusi kutoka kwa Nape Nauye kupitia mikutano yake ya kampeni dhidi ya viongozi wa vyama vya upinzani huku tume ya taifa ya uchaguzi ikiyafumbia macho, ni wakati muafaka wananchi wa jimbo la Mtama kukataa kumchagua kiongozi wa kutukana.