Hivi kufungua e mail siku hizi kuna gharama? Ila its ok. You will get help and advice from others as well. Wish you all the best.Oky but e mail yngu imeblock ndgu yangu zoh ninahamu ya kujifunza from you ..apart from e mail
Hivi kufungua e mail siku hizi kuna gharama? Ila its ok. You will get help and advice from others as well. Wish you all the best.Oky but e mail yngu imeblock ndgu yangu zoh ninahamu ya kujifunza from you ..apart from e mail
huyu ni mtoto kamaliza tu shule juzi mambo haya ya e-mail huenda hayafahamu sana so punguza mihemko! ila nimependa ulivyomalizia....Hivi kufungua e mail siku hizi kuna gharama? Ila its ok. You will get help and advice from others as well. Wish you all the best.
Hivi kufungua e mail siku hizi kuna gharama? Ila its ok. You will get help and advice from others as well. Wish you all the best.
Ha ha ha asisahau sana kumzingatia RICH DADYKama una weza tafuta kitabu cha RICH DADY, POOR DADY kisome then ukimaliza utajua ni nini una stahili kusomea, wengi tunaamin ukimaliza shule tu unaajiriwa lakini ni tofauti...... we soma kwanza then ukimaliza ndo angalia swala la ajira
Mimi napenda ualimu,pia UDSM wanaosomea ualimu ni division one tu,hivyo ni kawaida sio kweli kuwa walimu wamefeli acha kupotosha.hakuna mtu anaependa ualimu bali ni njaa tu na hio education kwa masomo yko haina future yyte education mostly wanaenda waliofeli acha kuichezea iyo div one yko ebu apply public administration MZUMBE au LAW udsm au human resources MZUMBE AU UDSM Achana na takataka hzo education utakufa maskini vijijini uko
Mshahara mdogo ni kuanzia Tsh ngapi,mimi ni mwalimu mshahara sio mdogo na nina maisha mazuri hapa Dar.Tatizo la Ualimu mshahara Mdogo Mazingira ya Kaz NATO aise kama unataka soma uje Ufundishe Private schools au Vyuo vya Diploma hyo LLB pia ina changamoto zake kupata ajira ila ukipata ndo umewin