King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,638
Akichezesha taya na mwandishi wa TBC1 Marin hassan,dr benson bana alitamka wazi kabisa kwamba tatizo sio mawaziri wapya bali ni mfumo mzima wa uteuzi,alisitiza kwamba tutapoandika katiba mpya swala la rais kupewa madaraka ya uteuzi wa kila kitu ndio unaokwamisha uwajibikaji ndani ya serikali,safi sana Dr Bana kwa kuliona hilo.
Nawasilisha
Nawasilisha