CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 4,768
- 8,009
Hilo bumunda?Tumpe NEPI NNAUYE
Hilo bumunda?Tumpe NEPI NNAUYE
Ambaruty atatufaa sana kwa vile hatujawahi kuwa serious na kitu chochoteHabari za leo,
Kwa maoni yako nani anaweza kulisaidia hili Taifa ili lisonge mbele kimaendeleo kwa kasi.
Binafsi huwa namkubali sana Majaliwa K. Majaliwa. Namuona kama mtu ambaye anaweza kutufikisha sehemu nzuri.
Je wewe unaona nani anafaa kuwa Rais wa hii Nchi 2025.
As long as is an Agency from our special field there 🙏.Habari za leo,
Kwa maoni yako nani anaweza kulisaidia hili Taifa ili lisonge mbele kimaendeleo kwa kasi.
Binafsi huwa namkubali sana Majaliwa K. Majaliwa. Namuona kama mtu ambaye anaweza kutufikisha sehemu nzuri.
Je wewe unaona nani anafaa kuwa Rais wa hii Nchi 2025.
Anyone as long as he belongs from security agency system and is there for special mission acomplishment!!!TISSWhat do you mean?
Kwa CCM, Rais ni SAMIA SULUHU HASSAN. Labda kwa vyama vingine mnaweza kupendekeza.Habari za leo,
Kwa maoni yako nani anaweza kulisaidia hili Taifa ili lisonge mbele kimaendeleo kwa kasi.
Binafsi huwa namkubali sana Majaliwa K. Majaliwa. Namuona kama mtu ambaye anaweza kutufikisha sehemu nzuri.
Je wewe unaona nani anafaa kuwa Rais wa hii Nchi 2025.
Mheshimiwa shikamoo nyingi kwako.. kwanini umepotea sana humu ndani. Au majukumu yamekukaba sana katika kulitumikia Taifa. Uwe unakuja mara moja moja hata kusalimia tu humu jukwaani.As long as is an Agency from our special field there 🙏.
Nyerere alikuwa PMRais ni mmja tuu Samia hao wengine ni Wapambe wake.
Mwisho uliwahi ona wapi PM akawa Rais?
Kaeni kwa kutulia mpaka 2030 ndiyo Rais Samia atamaliza muda wake. Samia ni chaguo la Mungu baada ya kumuondoa yule Dikteta DHALIMU wa Chato.Habari za leo,
Kwa maoni yako nani anaweza kulisaidia hili Taifa ili lisonge mbele kimaendeleo kwa kasi.
Binafsi huwa namkubali sana Majaliwa K. Majaliwa. Namuona kama mtu ambaye anaweza kutufikisha sehemu nzuri.
Je wewe unaona nani anafaa kuwa Rais wa hii Nchi 2025.
Freeman MboweHabari za leo,
Kwa maoni yako nani anaweza kulisaidia hili Taifa ili lisonge mbele kimaendeleo kwa kasi.
Binafsi huwa namkubali sana Majaliwa K. Majaliwa. Namuona kama mtu ambaye anaweza kutufikisha sehemu nzuri.
Je wewe unaona nani anafaa kuwa Rais wa hii Nchi 2025.
Mwenye uchungu na mali za watanzaniaTumpe NEPI NNAUYE
Albert msandoHabari za leo,
Kwa maoni yako nani anaweza kulisaidia hili Taifa ili lisonge mbele kimaendeleo kwa kasi.
Binafsi huwa namkubali sana Majaliwa K. Majaliwa. Namuona kama mtu ambaye anaweza kutufikisha sehemu nzuri.
Je wewe unaona nani anafaa kuwa Rais wa hii Nchi 2025.