Aisee nishawachukia hawa malaya mpaka basi.
Wana MMU naombeni ushauri wenu hii weekend iliyopita nimepatwa na janga mpenz wangu yuko mbali sasa hamu ya kudo imenikamata kwa muda mrefu sasa nikaona njia rahisi ni kwenda mjini na kununua malaya sasa jambo la ajabu nimekwenda nae mashine ikagoma kusimama na sio kawaida sasa katika hali ya kuibembeleza nilivua condom nakuchezesha kichwa kwenye mlango wa uke sasa ikasimama nikaingiza bila ndom ila baada ya dakika kama 3 au 4 nika mwaga sasa nilipomaliza nilijilaumu sana kufanya na malaya bila kondom sikuendelea nikampa pesa nikaondoka na stress naomben ushauri kama anao je nishaumia mana sina raha nikifikiria lile jambo.
Finito. Afuate hayo tu, maana kunyonya virusi hatuwezi. Labda kama ingekuwa ukimmwagia mwingine manii we vinatoka ninemshauri avirudishe alikovitoaHa ha ha ha ha, ushauri gani sasa?
Cha muhimu mlinde mpezi wako? Usifanye naye bila kinga kabla hujajihakikishia uko salama. Utakuwa umeua kwa kukusudia ukimwambukiza.
Subiri incubation period ipite afu ukapime.
Ujana maji ya moto
mkuu unampa miaka mingapi tumuimbie parapanda!!!Ha ha ha ha ha ha mkuu umenikumbusha mbali sana mkuu...
Rest in peace mwanangu dia
Ha ha ha ha ha ha mkuu umenikumbusha mbali sana mkuu...
Rest in peace mwanangu dia