Makame
JF-Expert Member
- Jan 3, 2008
- 512
- 60
Nashukuru MDAU kwa hoja zako, ambazo nitajitahidi kuzijibu kama ifuatavyo.
1. Mimi sitambui kuwa kuna makundi ndani ya TISS, na endapo yapo basi Naibu Mkurugenzi Mkuu angebainisha hayo. Mie ninachodhani ni kwamba hizo taarifa alizotoa Mheshimiwa Slaa zilikuwa cooked na watu ambao huwa wanampatia taarifa mbali mbali ikiwemo nyaraka za Serikali.
2. Kuhusu Ufisadi, mimi sidhani kuwa ni suala la kujadiliwa zaidi kwa kipindi hichi kwa vile ni masuala yaliyopo mahakamani. Sio vyema kujadili sana masuala yaliyopo Mahakamani, na ni TISS ndio waliofanya kazi ya kuwasilisha mashitaka hayo Mahakamani kufuata taratibu husika.
3. Dk Slaa alizitoa tuhuma NZITO dhidi ya TISS hadharani na imepaswa ajibiwe hadharani. Hii ni kwa faida ya Watanzania kwa nia ya kuwahaakikishia Wananchi kuwa TISS haifanyi shughuli zozote zinazoweza kupelekea uvunjaji wa amani ikiwemo KUCHAKACHUA KURA.
4. TISS sio chombo cha SIRI ndio maana kuna Sheria ya Bunge ambayo muanzilishi wa Thread hiii aliinukuu. Utendaji wa TISS huwa haujitokezi hadharani kwa kuwa kwa TISS ni kazi tu, kwengine ndio Majungu. Hata hivyo, TISS wametoa maelezo hadharani kwa nia ya kutekeleza DHAMIRA ya TISS ie Utunzaji wa AMANI na USALAMA nchini.
1. Mimi sitambui kuwa kuna makundi ndani ya TISS, na endapo yapo basi Naibu Mkurugenzi Mkuu angebainisha hayo. Mie ninachodhani ni kwamba hizo taarifa alizotoa Mheshimiwa Slaa zilikuwa cooked na watu ambao huwa wanampatia taarifa mbali mbali ikiwemo nyaraka za Serikali.
2. Kuhusu Ufisadi, mimi sidhani kuwa ni suala la kujadiliwa zaidi kwa kipindi hichi kwa vile ni masuala yaliyopo mahakamani. Sio vyema kujadili sana masuala yaliyopo Mahakamani, na ni TISS ndio waliofanya kazi ya kuwasilisha mashitaka hayo Mahakamani kufuata taratibu husika.
3. Dk Slaa alizitoa tuhuma NZITO dhidi ya TISS hadharani na imepaswa ajibiwe hadharani. Hii ni kwa faida ya Watanzania kwa nia ya kuwahaakikishia Wananchi kuwa TISS haifanyi shughuli zozote zinazoweza kupelekea uvunjaji wa amani ikiwemo KUCHAKACHUA KURA.
4. TISS sio chombo cha SIRI ndio maana kuna Sheria ya Bunge ambayo muanzilishi wa Thread hiii aliinukuu. Utendaji wa TISS huwa haujitokezi hadharani kwa kuwa kwa TISS ni kazi tu, kwengine ndio Majungu. Hata hivyo, TISS wametoa maelezo hadharani kwa nia ya kutekeleza DHAMIRA ya TISS ie Utunzaji wa AMANI na USALAMA nchini.