Bahati mbaya series zao zimekosa viwango kutokana na maandalizi hafifuWakuu tokea jpm aingie madarakani now imekuwa ni mwendo wa series tu,kila mteuliwa akiamka lazima abuni movie yake,ili aonekane anafanya kazi,,kama hi movie ya juzi ya mheshimiwa na gwanda View attachment 387400
Hao watatu wanaonyesha kabisa state of emergencyAlisahau skafu au?
Hao watatu wanaonyesha kabisa state of emergency
1. Yuko casual ila kama anamshangaa jamaa jinsi alivyojiandaa
2. Ni Kamanda Sirro inaelekea hapo alipokuwa alikuja haraka kama alivyo
3. Askari wa uniform amesahau kufunga hata mkanda..hii ni dharura kwahiyo akili yote iko kwenye tukio
Halafu Kituko kiko kwa Lameck! Yuko very well dressed? Truly this looks weird
The point is hereLameck alijua kuna tukio litatokea?
Labda alikuwa Patrol maeneo ya Mbagala, yeye hakuwa wa kwanza kufika hapo?The point is here
Yule mmoja aliyebahatika kukimbia huku anawahesabu mpaka Fourteen huenda ikawa ndio huyo mwenye hizo nguo za kijani
Siku akiuliwa babaako au mama yako ndio utakuja jua kwamba ni maigizo au sio maigizo..Wakuu tokea jpm aingie madarakani now imekuwa ni mwendo wa series tu,kila mteuliwa akiamka lazima abuni movie yake,ili aonekane anafanya kazi,,kama hi movie ya juzi ya mheshimiwa na gwanda View attachment 387400
Acha povu we mlumumba,kinachozungumzia hapa sio tukio la mauaji,bali ni uvaaji wa huyo waziri wa mambo ya ndani,kulikuwa na ulazima gani kwa mtu ambaye hata hajawahi kupita mafunzao ya upolisi kuvaa uniform za jeshi la polisi?..Ili iweje sasa?,Kulikuwa na ulazima huo?...Mauaji yaliyotokea kila mtu anayakemea,lakini sio swala la kujichukulia ujiko feki kwa kuvaa uniform za polisi...Siku akiuliwa babaako au mama yako ndio utakuja jua kwamba ni maigizo au sio maigizo..
Watu mnapenda sana kuchukulia masihara kila jambo
Naona Comrade Mwigulu ameamua kufuata nyayo za Fidel CastroWakuu tokea jpm aingie madarakani now imekuwa ni mwendo wa series tu,kila mteuliwa akiamka lazima abuni movie yake,ili aonekane anafanya kazi,,kama hi movie ya juzi ya mheshimiwa na gwanda View attachment 387400
And the Award for the Best Male Actor,goes to.............Hao watatu wanaonyesha kabisa state of emergency
1. Yuko casual ila kama anamshangaa jamaa jinsi alivyojiandaa
2. Ni Kamanda Sirro inaelekea hapo alipokuwa alikuja haraka kama alivyo
3. Askari wa uniform amesahau kufunga hata mkanda..hii ni dharura kwahiyo akili yote iko kwenye tukio
Halafu Kituko kiko kwa Lameck! Yuko very well dressed? Truly this looks weird
Umenivunja mbavu mkuu hahahaWakuu tokea jpm aingie madarakani now imekuwa ni mwendo wa series tu,kila mteuliwa akiamka lazima abuni movie yake,ili aonekane anafanya kazi,,kama hi movie ya juzi ya mheshimiwa na gwanda View attachment 387400