Nahitaji eneo lililopimwa bajet yangu mil3 ila sikufichi mimi ni mwanajeshi ulinidhulumu utarud kuwahadithia humu yatakayokusibu. Natanguliza shukrani
Ujanja wa kizamani huo mkuu,pengine hafahamu humu JF hadi maboss wake tupo humu.
Umepigilia msumari vizuri apo kwenye cheo cha chini.Mara nyingi watu wenye vyeo vya chini huwa na mbwembwe na tambo nyingi sanaNamshangaa.... ndo wale wenye vivyeo vya chini... uanajeshi ni nidhamu na sio matisho ....haifai kabisa ndugu
Dar na arusha sehemu zingine badoUnapaelewa wapi mkuu?
Good Neighbour
Mbwembwe za kizamani hali hata cheo huna ukijapanda na cheo sijui itakuwaje.!Nahitaji eneo lililopimwa bajet yangu mil3 ila sikufichi mimi ni mwanajeshi ulinidhulumu utarud kuwahadithia humu yatakayokusibu. Natanguliza shukrani
teh teh teh teh 'watu wapo empty'Bei mwanangu. Watu wako empty kwa sasa
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Thanks, ngoja nifike huko hukoMkuu wanasema waweza kupata ila si jirani sana.
Kama kinavyo hamishwa kituo cha polisi Oisterbay!!Ukiwa na pesa viwanja vipo hata ule ukumbi wa Bunge unaweza hamishwa na kiwanja ukapewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tumekusoma lakini Ali tete punguza beiHabari zenu wakuu!
Naomba kuwashauri watu wote wanaotaka kuhamia dodoma na wana mpango wa kujenga na hawana viwanja kuwa muda wa kununua viwanja ni sasa endapo utachelewa basi gharama itakuwa kubwa zaidi.maeneo yapo mengi na mazuri kwa makazi,biashara na huduma zingine za kijamii kama vile shule,hospitali,n.k!!!kwa mfano mdogo kuna maeneo kama unaenda machinjion dodoma mjini yako bado wazi afu kuna makazi mengi sana jirani yake,na watu wanafata huduma za kijamii mbali.hakuna shule wala hospital jiran!!!nina eneo pia la ekari 5 maeneo ya mnadani kwa atakayehitaji naomba tuwasiliane.nauza milioni 5 kwa ekari moja(4000square metres) bei sawa na bure.karibuni sana muda ndio huu
Contact; 0767833496
Nawasilisha
Nahitaji eneo lililopimwa bajet yangu mil3 ila sikufichi mimi ni mwanajeshi ulinidhulumu utarud kuwahadithia humu yatakayokusibu. Natanguliza shukrani