Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 1,145
- 1,912
Wakuu nataka nifungue maabara ndogo.
Elewa hapo ndogo! Ila nina mtaji wa laki tano je unatosha kufungua Maabara ndogo ya kuanzia nikipata hela nitakuwa naongezea vitu!
Wataalam wa Afya nawaomba hapa!
Elewa hapo ndogo! Ila nina mtaji wa laki tano je unatosha kufungua Maabara ndogo ya kuanzia nikipata hela nitakuwa naongezea vitu!
Wataalam wa Afya nawaomba hapa!