Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
- Thread starter
- #21
Hivi una maana kuwa CCM na CUF wanapata rudhuku mara mbili ama?? Yaani wanapata za ZNZ then za serikali ya muungano?? Kutokana na katiba yetu hii inawezekana kabisa iwapo ZNZ kama nchi wakaamua kuvilipa vyama kutokana na wawakilishi wake kwenye balaza la wawakilishi na selrikali ya muungano ikawalipa pia kutokana na wabunge wao kwenye jamuhuri.
Hayo ndiyo yatakuwa ni mapungufu ya katiba. Unless ZNZ kama hawatoi rudhuku.
Tulia kidogo na ukapitie post za wenzetu walizozitundika humu juu ya hoja hii kabla haujaanza kuonekena kuuliza mambo ambayo wenzetu wameshazitolea majibu humu. Naamini, kwa misingi ya uungwana hautokaa kimya bila kutujuza kama jibu lako limo tayari humu au laa.
tuendelee na mjadala.