Kwa kikotoo kile hakuna siku utalipwa mafao yote

JF Member

JF-Expert Member
Dec 14, 2014
7,393
9,675
Mwaka jana nilibahatika kuangalia mfumo wanaotumia kufanya mahesabu ya wastaafu.

Kikubwa nilichokiona ni kwamba, wafanyakazi hawawezi kulipwa mafao yote baada ya kustaafu.

Mfumo/Kanuni yenyewe iko hivi;

1. 1/580 * N *APE*12.5*33%
2. 1/580 * N *APE*1/12*67%

UFAFANUZI

1. Kanuni namba moja inaitwa Committed pension - Hii unalipwa wakati umestaafu tu. Ndio maana unachuku 33%
2. Kanuni namba moja inaitwa Monthly pension - Hii inatumika kulipwa baada ya wewe kustaafu, kwa mwezi.

N - Inasimama kama idadi ya michago ulichangia. Kwa mfano kama umeajiliwa kwa miezi 240 basi N itakuwa 240. (Hii ni sawa na miaka 20)

APE - Inamaanisha wasitani wa michango ya miaka mitatu (Miaka ile ya mwisho wa ajila). Kama uliajiliwa 2003 na kukasitaafu 2023, maanake ulifanya kazi miaka 20.

Kwenye kutafuta wastani wa mshahara wanachukua mshahara wako wa 2021 -2023. Kama mwaka 2021 ulikuwa unalipwa 1,000,000. 2022 ukalipwa 2,000,0000 na 2023 ukalipwa 4,000,000. Wastani wa mshahara utakuwa (1m+2,+4m)/3 = 2,333,333.
Hivyo APE Itakuwa 2,333,333.

12.5 - Wastani wa miaka ya kuishi baada ya kustafu - Walishafanya utafiti.

1/12 - 1 ni mwenye mmoja na 12 ni miezi 12 . Hivyo hapa wanapiga mchango kwa mwenzi.

Kwa mtindo huu. Kiwango cha juu cha mda wa kukaa kwenye ajila ni miaka 40 sawa na miezi 480..Hivyo N haiwezi kuzidi 480.

Kama kanuni ni 1/580 * 480 - hapa ni pigo kwa wafanya kazi.

Michango yetu haitatufaidisha.

NB: Bado sijaikubari hii kanuni. Kama kunanyingine nipewe.
 
Je kama mstaafu ameendelea kuishi hata baada ya hiyo miaka 12.5 iliyokadiriwa nini kinatokea kuhusu mafao yake?
 
Ndio maana kuna Mwl mmoja ni Mkuu wa Shule yupo Mkoa fulani Kaskazini siku hizi kapoa kawa na heshima sana sababu target yake kubwa ilikuwa kwenye hayo mafao ya kustaafu ili awatambie majirani zake sasa tangu story na uhalisia wa hiki kikokotoe kitoke naona kawa baridi sana.
 
Mwaka jana nilibahatika kuangalia mfumo wanaotumia kufanya mahesabu ya wastaafu.

Kikubwa nilichokiona ni kwamba, wafanyakazi hawawezi kulipwa mafao yote baada ya kustaafu.

Mfumo/Kanuni yenyewe iko hivi;

1. 1/580 * N *APE*12.5*33%
2. 1/580 * N *APE*1/12*67%

UFAFANUZI

1. Kanuni namba moja inaitwa Committed pension - Hii unalipwa wakati umestaafu tu. Ndio maana unachuku 33%
2. Kanuni namba moja inaitwa Monthly pension - Hii inatumika kulipwa baada ya wewe kustaafu, kwa mwezi.

N - Inasimama kama idadi ya michago ulichangia. Kwa mfano kama umeajiliwa kwa miezi 240 basi N itakuwa 240. (Hii ni sawa na miaka 20)

APE - Inamaanisha wasitani wa michango ya miaka mitatu (Miaka ile ya mwisho wa ajila). Kama uliajiliwa 2003 na kukasitaafu 2023, maanake ulifanya kazi miaka 20.

Kwenye kutafuta wastani wa mshahara wanachukua mshahara wako wa 2021 -2023. Kama mwaka 2021 ulikuwa unalipwa 1,000,000. 2022 ukalipwa 2,000,0000 na 2023 ukalipwa 4,000,000. Wastani wa mshahara utakuwa (1m+2,+4m)/3 = 2,333,333.
Hivyo APE Itakuwa 2,333,333.

12.5 - Wastani wa miaka ya kuishi baada ya kustafu - Walishafanya utafiti.

1/12 - 1 ni mwenye mmoja na 12 ni miezi 12 . Hivyo hapa wanapiga mchango kwa mwenzi.

Kwa mtindo huu. Kiwango cha juu cha mda wa kukaa kwenye ajila ni miaka 40 sawa na miezi 480..Hivyo N haiwezi kuzidi 480.

Kama kanuni ni 1/580 * 480 - hapa ni pigo kwa wafanya kazi.

Michango yetu haitatufaidisha.

NB: Bado sijaikubari hii kanuni. Kama kunanyingine nipewe.
Mkuu hakuna ajila kuna ajira
 
Acheni swaga basi,labda ujinga wangu kwani hicho KIKOKOTOO walimu wamo kweli🤔.
Mnatuzuga tu,by the way kama ulishindwa kufanya vya maana Kwa take home basi hataweza chochote kile.

Serikali imegundua wastaafu wanakufaga mapema Kwa presha ya mzigo au kijicho Cha waliomzunguka Kwa kuona ana mpunga wa uzeeni.

Siku akifa,hela itatoka yote kwenye mirathi.

So,naona kama wameamua kunyoosha pande zote mbili.
Acheni mstaafu aendelee kulipwa akiwa home,sio apewe zote matokeo yake anaanza kuhaha afanye Nini.
Ndo unakuta anakimbilia kujenga majengo,biashara,kilimo,wakati hivyo vituo hana uzoefu navyo.
Kufumbua macho zimeisha,anakufa Kwa presha maana hana pakushika.

Ukishindwa kumeneji takehome basi wewe ni hakuna kitu.

Serikali Iko sahihi kabisa,maana mnastafu mkiwa vilema wa fikra mnaanza kutia huluma mitaani.

OVER.
 
Kwa maelezo hayo mfumo wa pension ni ‘defined benefit’ scheme, with 33% ‘commuted option’. Wewe unachangia asimilia gani ya mshahara wako kila mwaka na mwajiri asilimia ngapi? Ujaelezea hayo.

Hata hivyo hizo ndio hesabu za ‘defined benefit’ pension kote duniani sio Tanzania tu, well almost (tofauti, labda kwengine pension is for life).

Serikali labda iruhusu mashirika yatakayowapa ‘defined contribution schemes’ watu wapate hizo option wanazotaka za ‘drawdowns ya hela zote au kupata annuity’ muone madhara ya pension funds za hovyo kama Enron. Vinginevyo utaratibu huo aupo kwenye ‘defined benefit schemes’.

Sasa mkilitewa hizo pension mnazotaka watu wakienda kuwekeza hela zenu kwenye investment za hovyo zikapotea hakuna wakumlaumu pia.

Shida ya watanzania ni kupenda kujazana upepo kama kwenye zile mada za UTT Amis ukisoma mule watu wanavyopiga hesabu zao za marejesho na maelezo yao ya risk appetite unajiuliza hiyo mutual fund ina operate kama zingine duniani au hii ni special na ya kipekee duniani.
 
Acheni swaga basi,labda ujinga wangu kwani hicho KIKOKOTOO walimu wamo kweli🤔.
Mnatuzuga tu,by the way kama ulishindwa kufanya vya maana Kwa take home basi hataweza chochote kile.

Serikali imegundua wastaafu wanakufaga mapema Kwa presha ya mzigo au kijicho Cha waliomzunguka Kwa kuona ana mpunga wa uzeeni.

Siku akifa,hela itatoka yote kwenye mirathi.

So,naona kama wameamua kunyoosha pande zote mbili.
Acheni mstaafu aendelee kulipwa akiwa home,sio apewe zote matokeo yake anaanza kuhaha afanye Nini.
Ndo unakuta anakimbilia kujenga majengo,biashara,kilimo,wakati hivyo vituo hana uzoefu navyo.
Kufumbua macho zimeisha,anakufa Kwa presha maana hana pakushika.

Ukishindwa kumeneji takehome basi wewe ni hakuna kitu.

Serikali Iko sahihi kabisa,maana mnastafu mkiwa vilema wa fikra mnaanza kutia huluma mitaani.

OVER.
Mchango wa hovyo sana huu, mstaafu akipewa pesa yake ikaila imaisha inakuhusu nini,? Leo ccm wanajifanya wanapenda wastaafu , ujinga mtupu wapeni pesa zao acheni wizi
 
Acheni swaga basi,labda ujinga wangu kwani hicho KIKOKOTOO walimu wamo kweli.
Mnatuzuga tu,by the way kama ulishindwa kufanya vya maana Kwa take home basi hataweza chochote kile.

Serikali imegundua wastaafu wanakufaga mapema Kwa presha ya mzigo au kijicho Cha waliomzunguka Kwa kuona ana mpunga wa uzeeni.

Siku akifa,hela itatoka yote kwenye mirathi.

So,naona kama wameamua kunyoosha pande zote mbili.
Acheni mstaafu aendelee kulipwa akiwa home,sio apewe zote matokeo yake anaanza kuhaha afanye Nini.
Ndo unakuta anakimbilia kujenga majengo,biashara,kilimo,wakati hivyo vituo hana uzoefu navyo.
Kufumbua macho zimeisha,anakufa Kwa presha maana hana pakushika.

Ukishindwa kumeneji takehome basi wewe ni hakuna kitu.

Serikali Iko sahihi kabisa,maana mnastafu mkiwa vilema wa fikra mnaanza kutia huluma mitaani.

OVER.
Mjinga wewe,Sasa mstaafu akifa yanakuhusu Nini??
 
Bado wale wakienda kuangalia wamefanya kazi ila unakuta bado pesa za michango haijapelekwa..

Michango imekatwa ila kweny mfuko haipo bora waanze kutoa system ya kufuatilia michango yao.
 
Acheni swaga basi,labda ujinga wangu kwani hicho KIKOKOTOO walimu wamo kweli🤔.
Mnatuzuga tu,by the way kama ulishindwa kufanya vya maana Kwa take home basi hataweza chochote kile.

Serikali imegundua wastaafu wanakufaga mapema Kwa presha ya mzigo au kijicho Cha waliomzunguka Kwa kuona ana mpunga wa uzeeni.

Siku akifa,hela itatoka yote kwenye mirathi.

So,naona kama wameamua kunyoosha pande zote mbili.
Acheni mstaafu aendelee kulipwa akiwa home,sio apewe zote matokeo yake anaanza kuhaha afanye Nini.
Ndo unakuta anakimbilia kujenga majengo,biashara,kilimo,wakati hivyo vituo hana uzoefu navyo.
Kufumbua macho zimeisha,anakufa Kwa presha maana hana pakushika.

Ukishindwa kumeneji takehome basi wewe ni hakuna kitu.

Serikali Iko sahihi kabisa,maana mnastafu mkiwa vilema wa fikra mnaanza kutia huluma mitaani.

OVER.
naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom