KWA KAULI hii MUUNGANO UVUNJIKE TU!!!!!!

BOFYA HAPA: 250 wazama Zanzibar

Naanza kwa kuwapa pole wananchi wote walipoteza ndugu zao na wale walionusurika katika ajali ya kuzama kwa meli hapo jana 18/07/2012.

RIP Marehemu wote.

Maneno aliyosema Mh. Spika na tabia ya uendeshaji wa Bunge la Muungano inaonyesha kuna ubaguzi mkubwa ambapo hakuna sababu ya kuendelea kuwa na Muungano kama pande za Muungano hazina umoja na Mshikamanao wa kweli
Ulikuwa hujui kama ile ni nchi inayojitegemea??? yupo sahihi kabisa kupeleka salamu za rambi rambi kule!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kwani wewe ulikuwa hujui kuwa ni Zanzibar ni nchi inayojitegemea???!! Zanzibar ina rais wake na serikali yake, ina bunge lake, ina bendera yake, ina wimbo wa taifa, nk..............!!!! Binafsi wala huu Muungano siulewi kabisa! Ni sawa na familia mbili zilizokubaliana kula chakula kwa pamoja, cha ajabu familia moja ndo inakula chakula cha familia nyingine!!!!!...:shocked::A S-confused1:

Ahsante sana Madame Keren_Happuch kwa mchango uliotulia. Mzima wewe? :) Mie namshukuru Mungu, niko fit sana.

Have a great weekend.
 
Last edited by a moderator:
BOFYA HAPA: 250 wazama Zanzibar

Naanza kwa kuwapa pole wananchi wote walipoteza ndugu zao na wale walionusurika katika ajali ya kuzama kwa meli hapo jana 18/07/2012.

RIP Marehemu wote.

Maneno aliyosema Mh. Spika na tabia ya uendeshaji wa Bunge la Muungano inaonyesha kuna ubaguzi mkubwa ambapo hakuna sababu ya kuendelea kuwa na Muungano kama pande za Muungano hazina umoja na Mshikamanao wa kweli.

Na pia kauli ya Raisi Kikwete eti anatuma salamu za Rambirambi kwa Raisi wa ZNZ, ina maana hizi ni nchi mbili kwani tulitegemea kama ni salamu za Rambirambi zitoke nje ya JMT na siyo kutoka kwa Rais wa JMT.

Waliopatwa na maafa katika tukio la kuzama meli hapo jana siyo WAZNZ peke yao bali ile meli ilikuwa inatoka DSM kwenda ZNZ hivyo bila shaka pia kuna Watu wa huko Tanzania bara walikuwmo pia.

Sas Raisi Kikwete aliwaona wa Wananchi wa tanzania Visiwani tu, hakujua kuwa tukiwa kama nchi kuna wananchi wengi toka Bara wamo na wananch wengi wa ZNZ wamo katika ile meli.

Binafsi sioni sababu za kuendelea na muungano kwani viongozi wa mihimili ya juu wamejionyesha kuwa tupo tofauti.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
wewe ndugu una yako lakini si kero za Muungano. Hebu muogope sana anayekupa uhai na uutumie vyema si unafiki na kuwaweka wengine matatizoni.
 
Back
Top Bottom