Nianze kwa kuwapa Pole na ujenzi wa taifa, naomba niweke wazi kwamba Kuna jambo nimelishuhudia hapa kwa jirani yangu siamini kama utendaji wa jeshi la polisi umefikiwa viwango hivi ama ni wale Maaskari walikuwa wakifanya vile kwa matakwa Yao binafsi.
Ilikuwa majira ya saa Saba mchana Askari alifika kwa jirani yangu kwa lengo la kumuhitaji mke kwa lengo la kumkamata na kwenda naye polisi kwa bahati mbaya hawakumkuta kwani alikuwa kazini.
Nilisikia akimuuliza jiani mke wako Yuko Mimi ni Askari, jirani yangu akamjibu ni vema ukanionyesha kitambulisho chako kama kweli ni Askari Ili tuendelee na mazungumzo ghafra yule Askari akamjibu ngoja nikuonyeshe kitambulisho angiza mkono mfukoni na kutoa pingu na kumfunga jirani yangu.
Baada kumfunga pingu akaanza kumshambulia kwa ngumu mateke vichwa huku jirani yangu akihoji kuomba kitambulisho ni kosa? Wakati huo gari no STM 5771 land cruiser double cabin ya rangi ya kijivu ikiwa imepaki karibu na kwangu hapa kukiwa na Askari mmoja na mtumishi wa Gmicrofinance ambayo IPO karibu na Magorofa ya Mpwapwa Frats.
Kwa bahati nzuri yule mwanyakazi wa Gmicrofinance namfahamu anaitwa Andrew lakini Moja ya wale Askari huwa namuona sana pale kwenye kituo kidago kinaitwa Ndashi kwenye mataa njia ya kwenda Dodoma in walimpakia jirani yangu na kutokomea naye kusikojulikana.
Mimi niliendelea na mjukumu yangu mpaka naondoka majira ya saa tisa hakurudi. Sasa Kuna maswali najiuliza ni kwanini askari atumie nguvu kubwa namna Ile kisa kaulizwa kitambulisho cha kazi?
Pili ni kwanini taasisi binafsi ya Gmicrofinance (kausha damu) itumie gari la serikali kupitia mtaani kukamata wadeni wake na askari ambao hawana uniform Wala vitambulisho lakini pia hii ni hatari kwa usalama wa Askari kwani muda mfupi tayari majirani walisha jaa, pengine ingeleta uvunjifu wa amani
Ilikuwa majira ya saa Saba mchana Askari alifika kwa jirani yangu kwa lengo la kumuhitaji mke kwa lengo la kumkamata na kwenda naye polisi kwa bahati mbaya hawakumkuta kwani alikuwa kazini.
Nilisikia akimuuliza jiani mke wako Yuko Mimi ni Askari, jirani yangu akamjibu ni vema ukanionyesha kitambulisho chako kama kweli ni Askari Ili tuendelee na mazungumzo ghafra yule Askari akamjibu ngoja nikuonyeshe kitambulisho angiza mkono mfukoni na kutoa pingu na kumfunga jirani yangu.
Baada kumfunga pingu akaanza kumshambulia kwa ngumu mateke vichwa huku jirani yangu akihoji kuomba kitambulisho ni kosa? Wakati huo gari no STM 5771 land cruiser double cabin ya rangi ya kijivu ikiwa imepaki karibu na kwangu hapa kukiwa na Askari mmoja na mtumishi wa Gmicrofinance ambayo IPO karibu na Magorofa ya Mpwapwa Frats.
Kwa bahati nzuri yule mwanyakazi wa Gmicrofinance namfahamu anaitwa Andrew lakini Moja ya wale Askari huwa namuona sana pale kwenye kituo kidago kinaitwa Ndashi kwenye mataa njia ya kwenda Dodoma in walimpakia jirani yangu na kutokomea naye kusikojulikana.
Mimi niliendelea na mjukumu yangu mpaka naondoka majira ya saa tisa hakurudi. Sasa Kuna maswali najiuliza ni kwanini askari atumie nguvu kubwa namna Ile kisa kaulizwa kitambulisho cha kazi?
Pili ni kwanini taasisi binafsi ya Gmicrofinance (kausha damu) itumie gari la serikali kupitia mtaani kukamata wadeni wake na askari ambao hawana uniform Wala vitambulisho lakini pia hii ni hatari kwa usalama wa Askari kwani muda mfupi tayari majirani walisha jaa, pengine ingeleta uvunjifu wa amani