Kwa hizi tweets za mtoto wa Museveni ni viashiria vya wazi kuwa shirikisho la siasa ndani ya EAC ni ndoto

luangalila

JF-Expert Member
Jan 12, 2014
6,325
6,871
Kwa kipindi tofauti tofauti Jumuiya hii ya Africa ya Mashariki imekuwa inakumbana na mambo ya Ajabu ajabu kutoka kwa viongozi

Awali miaka ya 2005's -2010's Tilipitia kile kilichooitwa Coalition of Willingness ambapo hapa kidogo baadhi ya wana jumuiya walitaka kumtenga Tz, hatukukaa sawa Rwanda na Tz wakapishana Kauli na kuharibu mahusiano baina ya majirani hawa, Kenya na Tz mikwaruzano yao haitabiriki,

Ameibuka Kijana wa M7 ambae amekuja na kauli tatanishi kupitia tweets zake , za kuibamia Nairobi, kitendo kile sio kitwndo cha mzaha kabisa ukizingatia ni kauli iliyotoka kwa moja ya viongozi wa juu wa jeahi la Jlinzi wa taifa la Uganda, na sasa ndio Jenerali .

.kisha baada ya kauli hile Baba yake ana mpandisha Cheo kijana wake na kump cheo cha Jenerali ... Sijui kama mambo yapo sawa na sijui kama jambo hili lina leta afya ndani ya Jumuiya ? Ni wazi Ruto ana paswa awe makini sana na huyu kijana
 
Hofu yangu asije kuingiwa na pepo la kumjaribu baba yake maana kuna sehemu amezungumzia mapinduzi
 
yaani unahangaika kumuwazia huyo??!!??, mwenzio alikuwa kapiga rubisi kachanganya na uganda waragi, akakafikiria na kacheo kake na familia pia akaona yupo juu sana. achana naye huyo tumb****f. tukimjadili humu tutampa kichwa
 
Kapandishwa kuwa General lakini ametolewa katika nafasi yake jeshini na kupewa Major General Muhanga ndio kawa kamanda wa ardhini

Kapigwa chini sasa labda apindue nchi
 
Huyo anaandaliwa kuingia kwenye nafasi za kisiasa. Kimsingi yeye ndiye anaekuja kuwa Rais baada ya m7.
Hatuwezi kupanga hayo
Kuna kupanga kwa binadamu na pia yanaweza kuwa tofauti wakamuuwa kabla
Je anakubalika na wote au ni kama MBS wa Saudia?
Mimi huwa siamini ramli
 
Kwa kipindi tofauti tofauti Jumuiya hii ya Africa ya Mashariki imekuwa inakumbana na mambo ya Ajabu ajabu kutoka kwa viongozi

Awali miaka ya 2005's -2010's Tilipitia kile kilichooitwa Coalition of Willingness ambapo hapa kidogo baadhi ya wana jumuiya walitaka kumtenga Tz, hatukukaa sawa Rwanda na Tz wakapishana Kauli na kuharibu mahusiano baina ya majirani hawa, Kenya na Tz mikwaruzano yao haitabiriki,

Ameibuka Kijana wa M7 ambae amekuja na kauli tatanishi kupitia tweets zake , za kuibamia Nairobi, kitendo kile sio kitwndo cha mzaha kabisa ukizingatia ni kauli iliyotoka kwa moja ya viongozi wa juu wa jeahi la Jlinzi wa taifa la Uganda, na sasa ndio Jenerali .

.kisha baada ya kauli hile Baba yake ana mpandisha Cheo kijana wake na kump cheo cha Jenerali ... Sijui kama mambo yapo sawa na sijui kama jambo hili lina leta afya ndani ya Jumuiya ? Ni wazi Ruto ana paswa awe makini sana na huyu kijana
Dogo yule pimbi sana. Kavimbiwa huyo.
 
Kwa kipindi tofauti tofauti Jumuiya hii ya Africa ya Mashariki imekuwa inakumbana na mambo ya Ajabu ajabu kutoka kwa viongozi

Awali miaka ya 2005's -2010's Tilipitia kile kilichooitwa Coalition of Willingness ambapo hapa kidogo baadhi ya wana jumuiya walitaka kumtenga Tz, hatukukaa sawa Rwanda na Tz wakapishana Kauli na kuharibu mahusiano baina ya majirani hawa, Kenya na Tz mikwaruzano yao haitabiriki,

Ameibuka Kijana wa M7 ambae amekuja na kauli tatanishi kupitia tweets zake , za kuibamia Nairobi, kitendo kile sio kitwndo cha mzaha kabisa ukizingatia ni kauli iliyotoka kwa moja ya viongozi wa juu wa jeahi la Jlinzi wa taifa la Uganda, na sasa ndio Jenerali .

.kisha baada ya kauli hile Baba yake ana mpandisha Cheo kijana wake na kump cheo cha Jenerali ... Sijui kama mambo yapo sawa na sijui kama jambo hili lina leta afya ndani ya Jumuiya ? Ni wazi Ruto ana paswa awe makini sana na huyu kijana
Hkn siyo kweli walikuwa anataniana tu ,eti kuvamia narobi kwa week mbili tu yeye anataniana tu hkn offu mkp emoji za alikuwa anaweka it's not such serious

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom