imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,768
- 71,199
Na Bobi Wine ni kama CCM?Uganda ni kama chadema
Na Bobi Wine ni kama CCM?Uganda ni kama chadema
Generali Mushoboozi Keinarugaba Mseven ndo atamuondoa Mseven a k a Mpenkoni.Kyeizile,kyeizile nki chund 'ebinyo.Kyanzalil'omwana,Omwana namweta Mugarula,,,Mpenkoni,mpenkoniii You need another rappp! Yes ,Seboooo.Hofu yangu asije kuingiwa na pepo la kumjaribu baba yake maana kuna sehemu amezungumzia mapinduzi
Huyo anaandaliwa kuingia kwenye nafasi za kisiasa. Kimsingi yeye ndiye anaekuja kuwa Rais baada ya m7.