Kwa hiyo Yanga ndiyo imegoma kufungua WhatsApp Channel?

SAYVILLE

JF-Expert Member
Mar 25, 2010
5,150
7,916
Simba ilipozindua WhatsApp channel yake, hadi CEO Imani Kajura akafanya press conference kuhusu uzinduzi huu. Binafsi na wengi wetu tuliona hii siyo issue kubwa kihivyo na tulikwazika pale ilipoorodheshwa kwenye Mkutano Mkuu kama ni moja ya mafanikio ya klabu msimu huu.

Pamoja na yote hayo yote haiondoi ukweli kuwa WhatsApp Channels ni moja ya trends mpya zinazoshika kwa kasi sasa kwenye mitandao ya kijamii kama ilivyo "Threads". Mpaka sasa timu nyingi kubwa duniani zimefungua channel zao na hata viongozi wakubwa akiwemo Rais SSH naye anayo ya kwake.

Kwa klabu inayojipambanua kwenda na wakati na kuendeshwa kisasa, inashangaza sana kwa Yanga kushindwa kufungua channel yake na ni aibu kubwa, na najua wanajivuta kufanya hivyo kisa tu inaogopa kuonekana imeifuata Simba. Aliyekutangulia amekutangulia tu hata ujifiche vipi, dawa ni kuingia ulingoni tu kwenda naye sambamba.

PS. Kama shida ni bando au simu janja, mtuambie wadau tuchangie au tuwafungulie kwa niaba yenu halafu tuwakabidhi, mbona ize tu. Ni vizuri kuepuke aibu ndogo ndogo kama hizi.
 
Channel ya nini wakati App tunayo tayari,Channel haongezi mapato yoyote yale ila App kutengeneza hela kunawezekana
Timu kubwa hizo ulizotolea mfano uchumi wao ni mkubwa , timu zetu za Afrika zinajitafuta hivyo tunakaba hata mia mia ziingie mfukoni , ndio maana kuna timu imeuzwa wanachama hawajui.
 
Kwa klabu inayojipambanua kwenda na wakati na kuendeshwa kisasa, inashangaza sana kwa Yanga kushindwa kufungua channel yake na ni aibu kubwa, na najua wanajivuta kufanya hivyo kisa tu inaogopa kuonekana imeifuata Simba.
Kwa Tanzania SIMBA ni kinara wa mafanikio kimataifa, CAFCL wamepiga sana tu huko hadi wakajulikana mapema kimataifa, walifungulia njia kwa kutinga hadi robo fainali mara nyingi zaidi kuliko timu yoyote TZ, 🐸🐸wamewaiga Simba watangulizi wao kwa kuchungulia kwa mara ya kwanza CAFCL hadi robo msimu huu.

Sina shaka 🐸🐸wataficha aibu yao na kujikaza kiume kwa kuwaiga Simba watafungua channel yao huko whatsapp soon ili wakimbizane na vinara wa kimataifa.

Hakuna ubishi Simba ni baba lao kimafanikio hapa tz, hivyo 🐸🐸wasione aibu kuwaiga Simba.
 
Channel ya nini wakati App tunayo tayari,Channel haongezi mapato yoyote yale ila App kutengeneza hela kunawezekana
Timu kubwa hizo ulizotolea mfano uchumi wao ni mkubwa , timu zetu za Afrika zinajitafuta hivyo tunakaba hata mia mia ziingie mfukoni , ndio maana kuna timu imeuzwa wanachama hawajui.
Mbona imejiunga Threads? Kati ya Threads na WhatsApp ipi ina uwezo wa kuwafikia wapenzi na mashabiki wa Yanga zaidi? Kuhusu kuongeza mapato, mitandao yote hii haitofautiani, ni jinsi wewe tu unavyoitumia.
 
Simba ilipozindua WhatsApp channel yake, hadi CEO Imani Kajura akafanya press conference kuhusu uzinduzi huu. Binafsi na wengi wetu tuliona hii siyo issue kubwa kihivyo na tulikwazika pale ilipoorodheshwa kwenye Mkutano Mkuu kama ni moja ya mafanikio ya klabu msimu huu.

Pamoja na yote hayo yote haiondoi ukweli kuwa WhatsApp Channels ni moja ya trends mpya zinazoshika kwa kasi sasa kwenye mitandao ya kijamii kama ilivyo "Threads". Mpaka sasa timu nyingi kubwa duniani zimefungua channel zao na hata viongozi wakubwa akiwemo Rais SSH naye anayo ya kwake.

Kwa klabu inayojipambanua kwenda na wakati na kuendeshwa kisasa, inashangaza sana kwa Yanga kushindwa kufungua channel yake na ni aibu kubwa, na najua wanajivuta kufanya hivyo kisa tu inaogopa kuonekana imeifuata Simba. Aliyekutangulia amekutangulia tu hata ujifiche vipi, dawa ni kuingia ulingoni tu kwenda naye sambamba.

PS. Kama shida ni bando au simu janja, mtuambie wadau tuchangie au tuwafungulie kwa niaba yenu halafu tuwakabidhi, mbona izeee tu. Ni busara kuepuke aibu ndogo ndogo kama hizi.
Vitu vingine huwa mnaandika kuonesha sijui umaarufu tu. Umeshindwa nini kwenda Whatsapp kujiridhisha kama Yanga wana channel au hawana? Yanga mbona wana hiyo Channel muda mrefu tu. Kweli Mandunduka ni mbumbumbu.
 
Simba ilipozindua WhatsApp channel yake, hadi CEO Imani Kajura akafanya press conference kuhusu uzinduzi huu. Binafsi na wengi wetu tuliona hii siyo issue kubwa kihivyo na tulikwazika pale ilipoorodheshwa kwenye Mkutano Mkuu kama ni moja ya mafanikio ya klabu msimu huu.

Pamoja na yote hayo yote haiondoi ukweli kuwa WhatsApp Channels ni moja ya trends mpya zinazoshika kwa kasi sasa kwenye mitandao ya kijamii kama ilivyo "Threads". Mpaka sasa timu nyingi kubwa duniani zimefungua channel zao na hata viongozi wakubwa akiwemo Rais SSH naye anayo ya kwake.

Kwa klabu inayojipambanua kwenda na wakati na kuendeshwa kisasa, inashangaza sana kwa Yanga kushindwa kufungua channel yake na ni aibu kubwa, na najua wanajivuta kufanya hivyo kisa tu inaogopa kuonekana imeifuata Simba. Aliyekutangulia amekutangulia tu hata ujifiche vipi, dawa ni kuingia ulingoni tu kwenda naye sambamba.

PS. Kama shida ni bando au simu janja, mtuambie wadau tuchangie au tuwafungulie kwa niaba yenu halafu tuwakabidhi, mbona ize tu. Ni vizuri kuepuke aibu ndogo ndogo kama hizi.
Ndio imegoma, unatakaje?
 
Mnashidwa kuandikishia wanachama wenu kidigitali ambapo mngeingiza pesa ya kuendesha timu mnakimbilia WhatsApp channel by the way Yanga tunayo channel kitambo sema hatujataka iwe big deal mpka kuita waandishi wa habari
Screenshot_2024-03-11-10-06-36-151_com.whatsapp.jpg
 
Mnashidwa kuandikishia wanachama wenu kidigitali ambapo mngeingiza pesa ya kuendesha timu mnakimbilia WhatsApp channel by the way Yanga tunayo channel kitambo sema hatujataka iwe big deal mpka kuita waandishi wa habari View attachment 2931125
Alitaka iwe kama wao waite press halafu shangwe nyingi huku wakionesha ni sehemu yao ya mafanikio.
 
Simba ilipozindua WhatsApp channel yake, hadi CEO Imani Kajura akafanya press conference kuhusu uzinduzi huu. Binafsi na wengi wetu tuliona hii siyo issue kubwa kihivyo na tulikwazika pale ilipoorodheshwa kwenye Mkutano Mkuu kama ni moja ya mafanikio ya klabu msimu huu.

Pamoja na yote hayo yote haiondoi ukweli kuwa WhatsApp Channels ni moja ya trends mpya zinazoshika kwa kasi sasa kwenye mitandao ya kijamii kama ilivyo "Threads". Mpaka sasa timu nyingi kubwa duniani zimefungua channel zao na hata viongozi wakubwa akiwemo Rais SSH naye anayo ya kwake.

Kwa klabu inayojipambanua kwenda na wakati na kuendeshwa kisasa, inashangaza sana kwa Yanga kushindwa kufungua channel yake na ni aibu kubwa, na najua wanajivuta kufanya hivyo kisa tu inaogopa kuonekana imeifuata Simba. Aliyekutangulia amekutangulia tu hata ujifiche vipi, dawa ni kuingia ulingoni tu kwenda naye sambamba.

PS. Kama shida ni bando au simu janja, mtuambie wadau tuchangie au tuwafungulie kwa niaba yenu halafu tuwakabidhi, mbona ize tu. Ni vizuri kuepuke aibu ndogo ndogo kama hizi.
tulia,yanga ina vitu vikubwa sana vinakuja
 
Back
Top Bottom