Mpigania Uhuru
Member
- Dec 5, 2011
- 78
- 93
Hivi Wana JF huwa mnajisikiaje mnapoona au kusikia matangaza ya yanayotolewa yanoyoelezea umuhimu wa kuosha mikono, kutumia chandarua, kunywa pombe kwa kiasi, kuosha uso au kuwa na mpenzi mmmoja kwenye radio,tv,mabango, etc Yakimamalizia na kibwagizo ' tangazo hili limeletwa Kwa hisani ya watu wa Marekani!'
Je Ni kweli miaka hamsini ya Uhuru tunahitaji kuomba wazungu waje wakatufundishe/kutupa msaada wa matangazo ya umuhimu wa kunawa mikono kabla ya chakula ,etc?
Ni lini lini tutaweza kufikia Kiwango cha kuwa na vitu kama mashine DNA Kwa ajili ya technology za Kama Genetic engineering, viwanda vya electronic etc. Ningefurahi sana Kama misaada ingekuwa ya vitu ambavyo ni new technology na sio matangazo ya umuhimu wa kutumia chandarua jambo ambalo lipo ndani ya uwezo wetu!
Je Ni kweli miaka hamsini ya Uhuru tunahitaji kuomba wazungu waje wakatufundishe/kutupa msaada wa matangazo ya umuhimu wa kunawa mikono kabla ya chakula ,etc?
Ni lini lini tutaweza kufikia Kiwango cha kuwa na vitu kama mashine DNA Kwa ajili ya technology za Kama Genetic engineering, viwanda vya electronic etc. Ningefurahi sana Kama misaada ingekuwa ya vitu ambavyo ni new technology na sio matangazo ya umuhimu wa kutumia chandarua jambo ambalo lipo ndani ya uwezo wetu!