NIMEKIMBIA CCM
Senior Member
- Oct 4, 2011
- 193
- 26
Jamani tuweke tofauti ya vyama na itikadi ze2,ndio El amekumbwa na kashfa nying sana,but mkubali, mkatae Edward Lowasa alikuwa ni kiongozi muajibikaji sana mfano ni kule kujiuzuru(ieleweke alikuwa ana uwezo wa ku2mia mabavu kuendelea kuwa waziri),naamin hiki kilio cha wanafunzi wa vyuo vikuu kukosa mkopo waziri mstaf angekuwa kashafanya mamuz mazur,huu n ukweli kwa upande wa uzuri wake,ntamkumbuka sana lowasa kwa kufanya maamuz magumu hasa kung'atuka bada ya kuikosea jami'
SASA CJUI MWENZETu(mze wa kukenua) UTAJIUZURU AU!
SASA CJUI MWENZETu(mze wa kukenua) UTAJIUZURU AU!