SIO WIVU mzee wa freeqence ,mm nataka kumkumbusha kushukuru Mungu kwanza kwa kumuwezesha!ishu ya mshaara sikitu sana!Mkuu wewe ni mmoja wa wahanga wa kukosa ajira nini? maaana namna unavoponda ni dhahiri kuwa umeshakuwa frustrated.
Kuongea ukweli nikujisifu? au kwasababu tu kataja mshahara wake kuwa ni mkubwa, basi hapo unamwona kuwa kajisifu??
Angesema kuwa analipwa sh 180,000/= hapo usingeona anajisifu. Ila sababu figure ni kubwa, wivu wako unafanya uone anajisifu.
Acha wivu usio na tija, pambana na maisha
SIO WIVU mzee wa freeqence ,mm nataka kumkumbusha kushukuru Mungu kwanza kwa kumuwezesha!ishu ya mshaara sikitu sana!
alafu nahisi wewe fm stereo ni binti maana unagubu kama upo kwenye sikuzo!
samahani kaka! nafuta kauli yanguFM stereo ni MWANAUME.
mkuu FM stereo nakupongeza sana kwa kufuatilia mambo!, ni kweli huyu jamaa alipost hii kitu huko, na nimekwenda kusoma alichoandika na hapa NAKUBALIANA na mtoa uzi kwa elimu aliyokua nayo ni KWELI kulipwa gross salary ya 1.8M kwa mwezi IT IS POSSIBLE!!, jamaa ana masters kali na CPA juu!. ila kidogo amechanga watu kwa kusema "he is fresh from school" (maana yake katoka shule na hana uzoefu wowote) watu wakijua kwamba kamaliza chuo tu na kupata kazi immediately kumbe KASOTA zaidi ya mwaka mmoja na kidogo!. kwa sasa tume ya ajira wapo kitaaluma zaidi maana interview zao zinakufanya urudi kujibrashi na uliyosoma shule, namaanisha kwenye mtihani wa mchujo hawaangalii una uzoefu wa miaka mingapi ila wanaangalia kichwani kichwa kinachaji vipi!!
hahahaaa, soledad sasa tunaanza kuona umuhimu wa kua KIPANGA darasani, watu walizoea kuona GPA kali hazihitajiki kwenye taaluma nje ya uhadhiri wa vyuo vikuu, sasa mpaka kwenye kada zingine GPA zitaanza kua dili.Its true jamani hata mie rafiki yangu mmoja amepata kupitia sekretarieti na hamjui mtu , analipwa 1.3 kapata atomic energy comission arusha, sekretarieti wamejitahidi kilichomsaidia HADI AKAPATA NI GPA YAKE inawezekana mkuu pia amefaulu vizuri
mkuu FM stereo nakupongeza sana kwa kufuatilia mambo!, ni kweli huyu jamaa alipost hii kitu huko, na nimekwenda kusoma alichoandika na hapa NAKUBALIANA na mtoa uzi kwa elimu aliyokua nayo ni KWELI kulipwa gross salary ya 1.8M kwa mwezi IT IS POSSIBLE!!, jamaa ana masters kali na CPA juu!. ila kidogo amechanga watu kwa kusema "he is fresh from school" (maana yake katoka shule na hana uzoefu wowote) watu wakijua kwamba kamaliza chuo tu na kupata kazi immediately kumbe KASOTA zaidi ya mwaka mmoja na kidogo!. kwa sasa tume ya ajira wapo kitaaluma zaidi maana interview zao zinakufanya urudi kujibrashi na uliyosoma shule, namaanisha kwenye mtihani wa mchujo hawaangalii una uzoefu wa miaka mingapi ila wanaangalia kichwani kichwa kinachaji vipi!!
da mkuu umenivunja mbavu kwani umeeleza ukweli tupuNina uhakika kazi uliyopata ni ya kuitetea secretarieti ya ajira tz kwenye mitandao! Na umeongeza 0 moja mbele,mshaara wako ni 180,000/= na umeambiwa targets uwe unarusha posts na sredi zao sizizopungua 20 kwa siku na wamekununulia na Simu ya kulogin.