TUMBIRI
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 1,933
- 1,199
MBUNGE wa Mafia, mkoani Pwani-CCM, Abdulkarim Shah, akiwa kwenye boti, aliyoikodi kutokana na kupigiwa simu msamaria mwema kwa ajili kusaidia kuokoa wananchi wa maeneo hayo, akitoa maelekezo kwa nahodha ni sehemu gani ya kupita wakati alipokuwa akishiriki katika kuwaokoa wananchi hao,waliokumbwa na mafuriko
Mbunge wa Mafia, Abdulkarim Shah, akimpokea mtoto aliyekuwa amehifadhiwa juu ya paa la nyumba, pamoja na msichana mmoja wa nje ya nchi, aliyejitambulisha kwa jina la Janne Borold, aliyekuwa naye sambamba katika kusaidia kuwaokoa wananchi hao