Kwa Hili Mh Raisi Kuwa Makini

Unatoa mawazo yako au unalalamika?

Eti haonyeshi hisia hapa unaonyesha ulivyo hasi...hisia zinapimwa vipi tena? (indicators). umezoea kugomba ndio uonekane baba...

Mheshimiwa ameunda tume na nyingi kama si zote zimefanyiwa kazi, hadi kufukuzwa PM, Kufunguliwa mashtaka vigogo, kufunguliwa Zombe etc...weka rekodi zote usiwe mchoyo mkuu

Hakuna changa la macho, Rais wetu ni msikivu, mpole na mzalendo anafanya hata mambo ambayo hata asingefanya hana lawama...kumbuka katiba mpya si sera ya chama...ni personal decision mpe credit mkuu acha uchoyo

Hayo mengine ni mapendekezo yako peleka kwenye tume itakayoundwa hivi karibuni ok

Acha kulialia na kulalamika kama yule mzee wenu asiyona jema kwa JK mwambieni utakonda bure..JK ni mzalendo atakayeingia kwenye historia kama rais Msikivu, aliyekubali mabadiliko kwa faida ya nchi yake.

Mkuu unaishi dunia ipi?
 
Back
Top Bottom