Bless the 12
Member
- Nov 5, 2010
- 61
- 4
Leo TBC news, eti JK katoa pongezi za kuteuliwa askofu wa katoliki, mie naona Rais hili amekuwa mnafiki tu maana hizo pongezi za kuteuliwa askofu basi azitoe kwa makanisa mengine pia na hata masheikh basi. Naona kwa hili amechemka tu kama kawaida yake au anajigonga kwa Roman asionekane mdini. Sasa kama rais we utatoa pongezi kwa viongozi wa dini ngapi au ndo anahalalisha ubaguzi tu. Kwa hili sijaona sense yake kwa kweli.