King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,726
- 68,739
Bumu lishatoka kwani?
Ingiza Pole Pole
Inasemekana kuwa, hapo zamani kulikuwa na taasisi iliyoitwa Independent Political Party (ndio chanzo cha kutumia neno 'IPP'), nadhani watu wa kilimanjaro wanaijua. Mengi aliamua kuiga hilo jina. Ila baada ya kupata uhuru Mengi ailiamua IPP iendelee kutumika ila isiwe na kirefu chake. Hakuna kirefu cha IPP kama ilivyo CRDB bank.
nawapuza wajinga.................we muda woe huo ulishindwa kutatuta hilo? shida ya kukwepa umande
Nashukuru mkuu nami umenifumbua macho. Pia comment zote hapo juu wameishia kukandia japo hawajui