Walikopa benki au kuchota Hazina!!Hiki ni kiini macho cha CCM magari walishaagiza hela walipata wapi leo wanakuja na michango huo ni uongo hela walishachota wanachofanya ni kuzuga watu na vyama vya Upinzani
Walikopa benki au kuchota Hazina!!Hiki ni kiini macho cha CCM magari walishaagiza hela walipata wapi leo wanakuja na michango huo ni uongo hela walishachota wanachofanya ni kuzuga watu na vyama vya Upinzani
USISHANGAE kama wewe ni mwanaCCM kweli. CCM walifanya mchezo huu wakati wa uandikishaji kura wa pili kwa kupitia kwa wajumbe wa shina (Nyumba kumi). Wajumbe hao walipewa form maalum kupita kwenye kaya zao kandikisha majina ya wapiga kura na kuwaomba pia namba za simu za mkononi. Lakini wakazi hawakuelezwa ni za nini. Kwa wale waliokuwa macho waliwauliza wajumbe hao kadi zao za kupiga kuar zinauhusianao gani na CCM. Binafsi niligundua hilo baada ya kuona fomu hiyo ina nembo ya CCM na si ya serikali au Tume ya uchaguzi.
Hivyo usirukie mambo bila kujua, ma Carl Pieters wapo huko mitaani wakitafuta data zenu!!!
Kuhusu kukatwa hizo fedha inawezekana kabisa, makampuni ya simu yatakata gharama za ujumbe wako. Hii ni njia mpya kuchangisha pesa kutoka kwa wadau. Redio Tumaini, ya Wakatoliki, wame/natumia njia hii kuchangisha pesa za kuiwezesha matangazo yake yawe kwenye satelaiti. Kikuu sasa kuhusu matumizi ya njia hii ni kuwepo kwa regulating and auditing bodies ilikuhakikisha kwanza kodi stahiki inalipwa TRA na haziendi kwenye matumizi mabaya. Ni vyema vyama vingine pia vikatumia njia hii ili kujidhatiti kimapato toka kwa wanachama wao wadogo wadogo ili wachangie gharama.
NotedBandari zimekufa, sasa waKenya wanajenga uwanja wa Kimataifa wa Ndege karibu kabisa na KIA, sis tunahangaika kwenda kuomba kibali cha kuuza meno ya Tembo , tuna akili kweli?
MsavilaUSISHANGAE kama wewe ni mwanaCCM kweli. CCM walifanya mchezo huu wakati wa uandikishaji kura wa pili kwa kupitia kwa wajumbe wa shina (Nyumba kumi). Wajumbe hao walipewa form maalum kupita kwenye kaya zao kandikisha majina ya wapiga kura na kuwaomba pia namba za simu za mkononi. Lakini wakazi hawakuelezwa ni za nini. Kwa wale waliokuwa macho waliwauliza wajumbe hao kadi zao za kupiga kuar zinauhusianao gani na CCM. Binafsi niligundua hilo baada ya kuona fomu hiyo ina nembo ya CCM na si ya serikali au Tume ya uchaguzi.
Hivyo usirukie mambo bila kujua, ma Carl Pieters wapo huko mitaani wakitafuta data zenu!!!
Kuhusu kukatwa hizo fedha inawezekana kabisa, makampuni ya simu yatakata gharama za ujumbe wako. Hii ni njia mpya kuchangisha pesa kutoka kwa wadau. Redio Tumaini, ya Wakatoliki, wame/natumia njia hii kuchangisha pesa za kuiwezesha matangazo yake yawe kwenye satelaiti. Kikuu sasa kuhusu matumizi ya njia hii ni kuwepo kwa regulating and auditing bodies ilikuhakikisha kwanza kodi stahiki inalipwa TRA na haziendi kwenye matumizi mabaya. Ni vyema vyama vingine pia vikatumia njia hii ili kujidhatiti kimapato toka kwa wanachama wao wadogo wadogo ili wachangie gharama.
Mie nimepata the same sms. Ina maana kwamba usajili wa namba zetu ni kuingilia privacy zetu eeeh!!!
Mbona wamehakiki daftari la wanachama wa chama chao na kwa nini wasiwatumie wanachama wao pekee?
Kama mimi ni CHADEMA nina lipi ktk kuisaidia CCM? Huu ni umamluki na unapaswa kukemewa kwa nguvu zote....
Serikali ya CCM na wasimamizi wa sera wooote ni CCM. ujue hakuna privacy hapo.
Ninaamini kuwa mahala pekee ambapo utaweka details zako na zikaheshimiwa na kulindwa ni JF pekee na siyo ktk idara za serikali.
Inabidi kuwashtaki tume ya mawasiliano kwa kuruhusu namba zetu kuingiliwa na hawa mafisadi kwa kututumia sms za kuudhi sana.