karonga
JF-Expert Member
- Mar 19, 2017
- 638
- 1,041
Kwani wangapi wamewahi, mbona huyu mtu na heshima zake, sijui wengine lkn mimi namheshimu sanaSawa mkuu,asante
Kwani wangapi wamewahi, mbona huyu mtu na heshima zake, sijui wengine lkn mimi namheshimu sanaSawa mkuu,asante
Tatizo umekaa zako huko na rimoti yako kazi yako kuwatia nyege wala huwapi mwisho wa siku wanakuja kuweweseka hukuNyota wapi washaona singlemom bas ndiyo pakumwagia uji....nami nimechoka na wapenz wa jf maana wote wapo Dar upwiru unaniua kusubiriana
To yeye unaguswa hukuNaomba niwie radhi kama nitakuwa nakukosea kwenye, wala sitaki kuficha toka nimejiunga humu kuna member anaita To yeye nahisi ananigusa mno.
Nahisi kupata hisia ima ninapoliana jina lake ama comment yake, natamani mno kumjua na pengine apate kujua yupo ambae amegusa hisia zake.
Na pengine kama namkosea anisamehe, mimi ni wale katika wanaosema midomo yao ni mizito kwa kutojua wapi naweza kuanzia kuwasilisha kilichokuwa moyoni mwangu.
Halali bureNaomba ulale sasa Mgibeon