Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Ritz ulikuwa unatuletea mwendelezo wa kesi ya kuwafunga israel wote iliyokuwa ikiendelea South Africa? Vipi umepotea tena? Unakata tamaa mapema dogo. Tulisema hakuna kulala. Naona siku hizi umeshalegea kabisa huna moyo tena. Turudi kuliamsha.
Malaria 2 nawe umelege legea tena. Shida nini? Gaza inaabomolewa Isis wapo, al qaeda wapo, hamas wapo, Is wapo na sisi tupo. Why? Tukapambane wajameni.
Msome huyu waziri kafiri, yahudi jeuri.... Anatuchana tu kibabe. Ritz alisema ile kesi south africa waisrael watafungwa wote nchi itabaki haina watu watapewa wapalestine. Naona naye kapotea
Malaria 2 nawe umelege legea tena. Shida nini? Gaza inaabomolewa Isis wapo, al qaeda wapo, hamas wapo, Is wapo na sisi tupo. Why? Tukapambane wajameni.
Msome huyu waziri kafiri, yahudi jeuri.... Anatuchana tu kibabe. Ritz alisema ile kesi south africa waisrael watafungwa wote nchi itabaki haina watu watapewa wapalestine. Naona naye kapotea